Hatimaye Fao la Kujitoa Limeruhusiwa.

Habari nilizozipata punde. Fao la kujitoa limeruhusiwa na serikali na kauli itatolewa na serikali ktk kikao cha bunge kinachoanza leo.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hizi ni taarifa za kweli. Najua waliosema umekurupuka wameanza kuficha nyuso zao. We umeongea kwa takwimu. Wao ndio hawana uhakika. Ndio wamekurupuka kujibu bila kuingia kwenye vyanzo vingine vya taarifa
 
Kuna Mbunge mmoja wa ccm alinukulwa jana akisema hajui bunge litajadili nini kwa sababu hawajapewa taarifa kama ilivyo ada...Kama ni bahati mbaya ama ni mpango-mkakati, tutajua tu mboni zetu na masikio yapo wazi.
 
Msimtuhumu bure. Ni kweli serikali kupitia radio leo asubuhi imesema inawasilisha hoja rasmi bungeni kutengua uamuzi wa mkurugenzi wa SSRA.....somebody Irene

Jamani na mimi pia nimesikia kwenye Taarifa ya Haabari, lkn nawauliza wenzangu wanaonekana hawana taarifa...
 
sio kuwa ni mfuko mmoja tu wa PPF km sijakosea ndo wanaweza chukua mafao yao?

manake nafikir AG alipendekeza huo mfuko na sijui alitumia kigezo gani, sie wa NSSF sijui itakuaje
 
mimi kitendo cha kurudisha tu mwakani naenda kuvuta zote naachana na hizi biashara za kuwachangia watu pesa za kwenda kujengea madaraja na majumba wakati mimi sinufaiki na chochote
 
sio kuwa ni mfuko mmoja tu wa PPF km sijakosea ndo wanaweza chukua mafao yao?

manake nafikir AG alipendekeza huo mfuko na sijui alitumia kigezo gani, sie wa NSSF sijui itakuaje
watatoa zote! kwani wanakaa nazo ni zao?? hii serikali hii, bora tungetawaliwa na babu wa loliondo tujue moja tunalishwa na kunywa 'KASA' period!
 
Umekurupuka usingizini? Wabunge wenyewe hawajui watajadili nini we unakuja na stori za vibanda vya kahawa

YUKO SAWA KABISAAA !!!!! Kwani tanzania piga ua garagaza wanaona vikundi vya kufa na kuzikana ni zaidi ya hizi social security benefit scheme. ndiyo maana wabunge wetu wanakommaa macho na kupigana kupeleka hoja binafsi kutokana na uelewa wao wa nusu nusu juu nini maana ya hii mifuko
 
Back
Top Bottom