Duh!!Sawa!! Kakuletea na Lady pepeta?
Siyo aikomboe bali aivuruge kama Pro wa KAFU.Karibu baba uikomboe CHADEMA kutoka kwa mkoloni wake EL.
Karibu sana jembe, wewe ndo mpinzani wa kweli
lumumba mnafurahisha sansana





Mpinzani wa kweli ni mnafki na mlaghai wa sisiemu akipandikizwa upinzaniKaribu sana jembe, wewe ndo mpinzani wa kweli
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
lumumba mnafurahisha sansana
Ameshakuwa jembe gafla![]()
Si mlisema kaiba mke wa jamaa flani![]()
mkuu siasa sikuwahi kufikiria kama upinzani wangempokea lowassaWamegundua hana dosari ndo mana.![]()
![]()
mkuu siasa sikuwahi kufikiria kama upinzani wangempokea lowassa

amekua balozi canadaKaribu baba uikomboe CHADEMA kutoka kwa mkoloni wake EL.