Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,119
Mh Ayubu Sikagonamo ameachiwa kwa dhamana hatimaye. Hongereni sana Chadema Kanda ya Nyasa kwa ushindi huu.
Mh Ayubu Sikagonamo alisingiziwa ujambazi, polisi wakatengeneza filamu ya kuokota silaha nyumbani kwake, baada ya ushahidi kukosekana wakamtengenezea Uhujumu Uchumi kwa kushirikiana na Mh Hakimu Mpangule anayetafuta kupandishwa cheo kwa udi na uvumba.
Hakika utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Bali ifahamike kwamba kila aliyehusika na unyama huu atalipwa kwa kadri ya kiasi chake.