Wed
JF-Expert Member
- Mar 7, 2011
- 315
- 266
John Shibuda, ameibuka na kutetea maandamano yanayofanywa na chama chake, huku akionya CCM kuacha kufanya kile alichokiita mchezo wa kugeuza polisi kuwa ‘ICU ya kutibu maradhi yake ya siasa za ufisadi.
Kukosekana kwa Shibuda katika maandamano na mikutano ya Chadema hata yalipotua mkoani kwake Shinyanga, kuliibua mguno wa chini chini miongoni mwa wapenzi na washabiki wa chama hicho.
Source : Gazeti la Mwananchi la leo
Wakuu, huyu " Shibuda" tunaweza kweli kumwamini au ni kauli "danganya toto" ???:A S 13:
Kukosekana kwa Shibuda katika maandamano na mikutano ya Chadema hata yalipotua mkoani kwake Shinyanga, kuliibua mguno wa chini chini miongoni mwa wapenzi na washabiki wa chama hicho.
Source : Gazeti la Mwananchi la leo
Wakuu, huyu " Shibuda" tunaweza kweli kumwamini au ni kauli "danganya toto" ???:A S 13: