dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,038
- 3,124
Hacker Axi0mX siku ya leo ameweza kuachia Chekra1n, tool ambayo ina uwezo wa kujailbreak simu za iPhone pamoja na ipad ambazo zina run iOS 13.
Kwa wasiofahamu, maana ya kujailbreak ni kuondoa vikwazo vinavyotokana na iOS kuweza kuzuia kuinstall app nje ya Appstore au pengine kuipa uhuru zaidi simu za iPhone kama ilivyokwa watumiaji wa simu zenye Android software.
Kwa wasiofahamu, maana ya kujailbreak ni kuondoa vikwazo vinavyotokana na iOS kuweza kuzuia kuinstall app nje ya Appstore au pengine kuipa uhuru zaidi simu za iPhone kama ilivyokwa watumiaji wa simu zenye Android software.