Uchaguzi 2020 Hatimaye CCM yajifuta rasmi Mtwara na Lindi

Mkoa wa Lindi una majimbo (8) kama ifuatavyo;
1. Kilwa Kusini na Kaskazini.
2. Mchinga.
3. Lindi Mjini
4. Mtama.
5. Ruangwa.
6. Nachingwea na
7. Liwale.
Kati ya hayo CCM wametumia mbinu za kimafia kupitisha wagombea wa Mtama na Ruangwa bila kupingwa, lakini kwenye hayo majimbo vyama vya Upinzani hasa ACT na CHADEMA wanaenda kuongoza kwenye kata, na ndio hapo utajua kuwa CCM haipendwi lakini imeaaidiwa na Wakurugenzi. Mfano kwa Nape alipata shida sana 2015.

Kwa majimbo 6 yanayobakia yafuatayo yanaenda Upinzani moja kwa moja.
1. Kilwa linaenda kwa Bwege wa ACT.
2. Lindi linaenda kwa Mchinjita wa ACT.
3. Nachingwea linaenda kwa Dr. Mmoto wa CHADEMA.
Na majimbo matatu taliyobakia, ambayo ni ya Kilwa, Mchinga na Liwale yeyote anaweza kuchukua.

Umeeleweka vyema mkuu na hongera sana kwa ufafanuzi mwema
 
Huu mwaka CCM kupitia kile kijamaa kinaitwa Polepole sijui , mmeamua kuongea ukweli toka mioyoni kwa kukubali kuwa nyie hampo kwa ajili ya wananchi maskini. Kamwe hamjawahi kuwa. Zaidi ni kwamba mnastahili kuondoka madarani. Mmekula mmevimbiwa, hamna UTU. Hadharani mnawatweza walalahoi walipakodi mnazofuja!
Wamevimbiwa hao sawa na chatu
 
Kufuatia kushindwa kwa Serikali ya CCM kushikwa na kigugumizi cha kuwaamuru wanunuzi woote wa korosho kutekeleza utaratibu wa kusafirisha korosho msimu huu wa 2020/2021.

Kabla ya kuingia kwa awamu ya tano madarakani, serikali zilizopita zilikuwa na utaratibu wa kuhakikisha kuwa korosho inayozalishwa mkoa wa Mtwara na Lindi zinasafirishwa nje kwa kupitia bandari ya Mtwara.

Hii iliwasaidia wakazi wa Mtwara hasa wachukuzi, kina mama nitilie, wenye ma hotel, Guest house, ma baa, maduka, bodaboda, tax, wenye maghala, wenye majumba kujipatia kipato kutokana na kuwapangisha wanunuzi bidhaa zao.

Leo hii Serikali ya CCM inawaacha wana mtwara na njaaa huku wakiona mazao yao yakipita kwenda bandari ya Dsm.

Wana Mtwara na Lindi hiki ni kipindi chetu kuionyesha CCM kuwa wamechoshea na maonevu ya CCM kwa kuikataa kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Sijui kama mkuu atakuja huko kuomba kura. Nasikitika sana kuona bei ya korosho, ufuta, mbaazi zimeanguka, kwa nini? natamani kuonana naye na kumuuliza mkuu wetu
 
Sijui kama mkuu atakuja huko kuomba kura. Nasikitika sana kuona bei ya korosho, ufuta, mbaazi zimeanguka, kwa nini? natamani kuonana naye na kumuuliza mkuu wetu
Kabla ya mwaka 2017 mazao yoote yalikuwa yanaenda kwa amani na wananchi walikuwa wanaishi maisha ya raha na starehe.

Lkn alipo amua kuingilia vyama vya ushirika ,sasa hivi wakulima woote wanaishi kwa kilio kila kukicha.
 
Huko ni chadema 100% hawa majizi na madikteta ccm hawawezi kupata hata kura moja...
Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe hutoamini macho yako pale Magufuli atakapokuwa anaapishwa, na wewe ukipelekwa ubelgiji kuuzwa kama kambale
 
Back
Top Bottom