M Msharika JF-Expert Member May 15, 2009 947 69 Mar 6, 2010 #101 Dingswayo, tuwape muda kwanza, kwani naona Dar wamepata more than 250. Nadhani ndoto inaweza kuwa kwani yote Nyerere aliyotabiri mengi yanatokea(Kweli anastahili kuwa Mtakatifu).
Dingswayo, tuwape muda kwanza, kwani naona Dar wamepata more than 250. Nadhani ndoto inaweza kuwa kwani yote Nyerere aliyotabiri mengi yanatokea(Kweli anastahili kuwa Mtakatifu).
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,331 33,147 Mar 7, 2010 #102 Chama cha CCJ na CCM. Kwa maoni yako Havina uhusiano, Vina uhusiano, Sina uhakika