Hatimaye barabara Pamba yaanza kukarabatiwa

Hatimaye barabara Pamba yaanza kukarabatiwa

Baada ya ulaji wa VOIL kuondoka (make hapa walikuwa wanazoa mchanga, wana uweka pembeni mwa barabara-mvua ikija inarudisha wanazoa tena-wanaweka pembeni yaani kama mchezo wa glori za watoto. Kisha wakaweka tuta, mara wanaparua tena tuta, baadae mara daraja-ukiangalia pembeni kuna mchanga) sasa wamehamia PAMBA ROAD. Majuzi Dr. Magufuli alikuwa na ziara kanda ya ziwa, hawa Nyanza Road wakatawanya kokoto/sijui zenge hapo VOIL , Chakechake, shule hadi Mkuyuni (hata rami/gundi hawamwagi) sijui lengo lao ni kucheat upana au maintenance?

Afu hawa Nyanza Road kwa sasa wamehamia Milima ya Usagara wana piga makombora utadhani Jeshi hata siamini kama hiyo leseni yao ni ya MADINI au MAWE/Kokoto. Hata yale mawe ya mabatini yalio ua watu watakuwanahusika (wachunguzwe), make hiyo mitetemeko yao sio ya kawaida!!!

Ule mlima si nasikia wameununua!!
 
Nimeiona,mbaya zaidi hakuna mchepuko,hadi uzunguke weee,ah!wanaweka viraka tuuu!

mkuu nimepita hapo muda huu eti wanafunga barabara kwa kuziba viraka what a shame!!!!
 
  • Thanks
Reactions: ram
kuziba viraka kunaendana vip na kufunga barabara?
na ile barabara yote si imejaa mashimo?
 
Aahahahahhhhh, eti itangazwe janaga la kitaifa, mradi wa wakubwa huo....

Pamba rd itangazwe kuwa janga LA kitaifa haiwezekani huwe no mgodi wa kujichotea pesa tu mwanza mwanza ni shamba LA bibi
 
Yaani ni aibu, hivi kila mkurugenzi anaekuja mwanza hapo ndio pakupitishia hela zao eeh

mkuu nimepita hapo muda huu eti wanafunga barabara kwa kuziba viraka what a shame!!!!
 
Jamani wewe Zamiluni Zamiluni, huko unaosema kuna barabara ya gari? Huko ni njia ya watembea kwa miguu, sina hakika hata kama baiskeli zinapita huko relini
Mkuu ram, Juzi nimetoea MWZ... nimevumbua njia mpya huko Bugando inateremkea igogo hadi VOIL, hata gari inapita kwa wepezi...barabara ya mawe yalopangwa kwa kusindikwa level imara kabisa...HONGERA !!
 
Mkuu ram, Juzi nimetoea MWZ... nimevumbua njia mpya huko Bugando inateremkea igogo hadi VOIL, hata gari inapita kwa wepezi...barabara ya mawe yalopangwa kwa kusindikwa level imara kabisa...HONGERA !!

Aisee! Hiyo ni habari njema mkuu, coz hii barabara ya kwenda nyegezi Lori likifunga barabara hapo igogo ndio basi tena
 
Jmosi nitapita huko na baby walker yangu
 
Back
Top Bottom