Hatimaye barabara Pamba yaanza kukarabatiwa

Hatimaye barabara Pamba yaanza kukarabatiwa

Kwa hiyo nyanza road wanajenga
barabara zenye viwango?
Ninachojua Mr Pombe anahusika kwenye hii kampuni ndo sababu wanapewa
kazi japo kazi zao haziridhishi, hii barabara wanajenga kila mwaka,why?
Kma wana ubora unaosema why waijenge hii barabara kila mwaka

ile ya mwakajana ilikuwa kampuni kutoka bukoba waliletwa na yule meya wacdm aliyetimuliwa kwa ufisadi na majungu, sasa hivi inasimamiwa na meya mabula kumbuka hii barabara niya halmashauri haiko chini ya tanroad.
 
Jamani wewe
Zamiluni Zamiluni, huko unaosema kuna barabara
ya gari? Huko ni njia ya watembea kwa miguu, sina hakika hata kama
baiskeli zinapita huko relini

hatakama ni ya watembea kwa miguu si ni njia, au? uchochoro unatenganisha nyumba na nyumba, au barabara lazima yapite magari?
 
Last edited by a moderator:
Waende Musoma waone jinsi Mkandarasi, aliyepewa kujenga Bara bara kuu ya Nyerere, iendayo Mwanza inavyojengwa kwa kiwango,wanaweza kujifunza kitu pale.
 
Baada ya ulaji wa VOIL kuondoka (make hapa walikuwa wanazoa mchanga, wana uweka pembeni mwa barabara-mvua ikija inarudisha wanazoa tena-wanaweka pembeni yaani kama mchezo wa glori za watoto. Kisha wakaweka tuta, mara wanaparua tena tuta, baadae mara daraja-ukiangalia pembeni kuna mchanga) sasa wamehamia PAMBA ROAD. Majuzi Dr. Magufuli alikuwa na ziara kanda ya ziwa, hawa Nyanza Road wakatawanya kokoto/sijui zenge hapo VOIL , Chakechake, shule hadi Mkuyuni (hata rami/gundi hawamwagi) sijui lengo lao ni kucheat upana au maintenance?

Afu hawa Nyanza Road kwa sasa wamehamia Milima ya Usagara wana piga makombora utadhani Jeshi hata siamini kama hiyo leseni yao ni ya MADINI au MAWE/Kokoto. Hata yale mawe ya mabatini yalio ua watu watakuwanahusika (wachunguzwe), make hiyo mitetemeko yao sio ya kawaida!!!
 
Waende Musoma waone jinsi
Mkandarasi, aliyepewa kujenga Bara bara kuu ya Nyerere, iendayo Mwanza
inavyojengwa kwa kiwango,wanaweza kujifunza kitu pale.

ile barabara inayoanzia bweri hadi kamnyonge inayojengwa na shabridin ndo kituko cha karne, bodaboda zikipita lami inabanduka.
 
Baada ya ulaji
wa VOIL kuondoka (make hapa walikuwa wanazoa mchanga, wana uweka pembeni
mwa barabara-mvua ikija inarudisha wanazoa tena-wanaweka pembeni yaani
kama mchezo wa glori za watoto. Kisha wakaweka tuta, mara wanaparua tena
tuta, baadae mara daraja-ukiangalia pembeni kuna mchanga) sasa
wamehamia PAMBA ROAD. Majuzi Dr. Magufuli alikuwa na ziara kanda ya
ziwa, hawa Nyanza Road wakatawanya kokoto/sijui zenge hapo VOIL ,
Chakechake, shule hadi Mkuyuni (hata rami/gundi hawamwagi) sijui lengo
lao ni kucheat upana au maintenance?

Afu hawa Nyanza Road kwa sasa wamehamia Milima ya Usagara wana piga
makombora utadhani Jeshi hata siamini kama hiyo leseni yao ni ya MADINI
au MAWE/Kokoto. Hata yale mawe ya mabatini yalio ua watu
watakuwanahusika (wachunguzwe), make hiyo mitetemeko yao sio ya
kawaida!!!

aliyekuwa anajenga daraja pale voil ni robert ntale sio nyanza road, na mwenye yard usagara sio nyanza road yeye yuko kisesa iliyokuwa yard ya astald.
 
Hii nchi hii siasa itaimaliza
Kila kitu imekuwa siasa hata kwenye mambo ya msingi


ile barabara inayoanzia bweri hadi kamnyonge inayojengwa na shabridin ndo kituko cha karne, bodaboda zikipita lami inabanduka.
 
aliyekuwa anajenga daraja pale voil ni robert ntale sio nyanza road, na mwenye yard usagara sio nyanza road yeye yuko kisesa iliyokuwa yard ya astald.

Nyanza Road wapo Milima ya mbele na Buhongwa, wala usibishe huenda kama una HISA ww sema tu!! Sema hii nchi imeuzwa huwa wawekezaji hawachunguzwi kuwa wanafanya nn kutokana na Leseni zao.
 
kwani hii ni mara ya ngapi hii barabara inatengenezwa katika kipindi cha miaka 3 iliyopita hadi leo hii?
 
mkuu. ram nakupa miezi sita itakuwa hovyo tu,hizo ni dili za watu.
_pale buzuruga naona wanafunga taa hongera zao
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
mkuu. ram nakupa miezi sita itakuwa hovyo tu,hizo ni dili za watu.
_pale buzuruga naona wanafunga taa hongera zao

Afadhali kama wanafunga taa hapo buzuruga maybe foleni itapungua kidogo though naona ile njia tangu walitakiwa ifike angalau hadi national kabisa buy wakaishilizia Sinai
 
Last edited by a moderator:
Pamba rd itangazwe kuwa janga LA kitaifa haiwezekani huwe no mgodi wa kujichotea pesa tu mwanza mwanza ni shamba LA bibi
 
  • Thanks
Reactions: ram
Nimeiona,mbaya zaidi hakuna mchepuko,hadi uzunguke weee,ah!wanaweka viraka tuuu!
 
Kama wiki moja imepita, tulijiuliza hapa ndani kwamba mmiliki wa hii barabara ya pamba hapa mwanza ni nani, watu tuliongea hapa, kweli barabara ile haifai, barabara ina mahandaki na iko katikati ya mji, hatimaye barabara imeanza kukarabatiwa, imefungwa upande wa kuanzia Kenyatta road hadi hapa bank ya barclays, ngoja tuone itafungwa kwa muda gani na ubora wa hiyo barabara utakavyokuwa

idumulwa, Aaron, kalimizzle, Honey Faith, Super H, charminglady, Marire, Ndeticha

Kumbe yupo mza!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom