Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Tutumie zipi sasa mkuu, mji wa mwanza unaujua ndugu?
Mpendwa, zipo njia kibao kati ya Mwanza south na mjini, kwa ufupi waweza tumia hizi( Pandisha bugando teremkea igogo au azania posta ingia relini nyosha hadi Mwa sauzi ) !! ipo njia ingine Nyerere rd. ingia Rwagasore nyosha unateremkea Kenyatta rd pale FINCA... !! ona uwepesi huo ? naujuaga mji wa MRocks ..since long!