ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,345
- 8,565
Kama wiki moja imepita, tulijiuliza hapa ndani kwamba mmiliki wa hii barabara ya pamba hapa mwanza ni nani, watu tuliongea hapa, kweli barabara ile haifai, barabara ina mahandaki na iko katikati ya mji, hatimaye barabara imeanza kukarabatiwa, imefungwa upande wa kuanzia Kenyatta road hadi hapa bank ya barclays, ngoja tuone itafungwa kwa muda gani na ubora wa hiyo barabara utakavyokuwa
idumulwa, Aaron, kalimizzle, Honey Faith, Super H, charminglady, Marire, Ndeticha
idumulwa, Aaron, kalimizzle, Honey Faith, Super H, charminglady, Marire, Ndeticha
Last edited by a moderator: