cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Mimi kula na kuamka ni neema kubwa kwa kweli I have zero stress being alive is a testimony to meWewe mwenyewe una stress za kufa mtu
Mimi kula na kuamka ni neema kubwa kwa kweli I have zero stress being alive is a testimony to meWewe mwenyewe una stress za kufa mtu
Haaaaa Haaaaa 😂 msumari huo shekheWewe mwenyewe una stress za kufa mtu
Nashangaaga hata watu wanaowafollow hao mastaa yaan hovyo kichiz wanakuwa miili but akili zinarudi nyuma mfano shilole ukija wema??! Yaan wapo wachache sana wanajielewa kama lulu au jokateBasi tu mastar wetu vichwa panzi na aunt kazaa na huyo qusa eti Ili apate mtoto mzuri
Lulu anajielewa duu? Bora Shilole ana uzaifu wake kwa vijana wadogo lkn anajua kujituma na kuitafuta hela ,Jokate elimu kidogo imemsidia,lkn wengi wao ni wachumia mbunye.Nashangaaga hata watu wanaowafollow hao mastaa yaan hovyo kichiz wanakuwa miili but akili zinarudi nyuma mfano shilole ukija wema??! Yaan wapo wachache sana wanajielewa kama lulu au jokate