'Yataka moyo wa simba, kufika Mt. Zion...' 🎶 🤣🤣🤣🤣 If you know, you know! 🤣
Anerlisa yeye amedai sahi ako committed kwa kazi yake, nothing else. 😂 Wadada wana mambo!
Kwanini mkuu, wanafaa tena sana, ni wewe uchague pole pole, usiwe na pupa ya kuvizia vya watu ilhali hujasoma radar vizuri. 😂Wale hawafai
Wataka niliamshe? 😂 😂 😂Babu kumbe uwa upiti upiti kule jukwaa la wakunya!
Uliamshe nini wewe pimbi,mimi shemeji yako,kwa wakikuyu maana huku wanajileta wenyewe wakijua tu mimi mtanzania,rafiki zangu wakenya iko kitu wanakijua maana demu atasumbua mkenya mwenzake ila siku akikutana na mbongo kiulaini,wenyewe wanadai wanapenda swahili ya TZWataka niliamshe? 😂 😂 😂
Huyo ndugu yako vipi, si alijileta aolewe ama? 😂 😂 😂Uliamshe nini wewe pimbi,mimi shemeji yako,kwa wakikuyu maana huku wanajileta wenyewe wakijua tu mimi mtanzania,rafiki zangu wakenya iko kitu wanakijua maana demu atasumbua mkenya mwenzake ila siku akikutana na mbongo kiulaini,wenyewe wanadai wanapenda swahili ya TZ
Ni wa Dodoma lakini, atakuwa MrangiNkamia kweli Hana akili lakini sio mgogo
Eti mrangi hii ni kweli?Mkamia ni gay
Mkaruka Huu ni ukweli ambao wengi tunaufikiria sema huwa hatusemi.. mi sidhani hata kama kuna mzazi anaweza kukubali mwanae aoe au aolewe na mgogo..Ulichoongea ni tafsiri ya kilichopo kichwani mwangu dhidi ya wagogo 😂😂😂
Wachaga na wakikuyu wanaendana maana wana tabia zinazoendana..mkuu mkikuyu dawa yake mchaga tu broo..trust me! Hakuna kabila linamuweza mwanamke wa kikikuyu bongo...ni Mnagi tu
Kama alienda mahakamani ili apate mali basi atakuwa fala sana.. kwani kuna mali walichuma pamoja?Kuna Mali yyte walichuma pamoja Kwa miez kumi walioishi?
Ukiwa single unatamani uwe kwenye uhusiano. Ukiwa na uhusiano unatamani uwe single again. Life is not a easy game. Haya maisha yaacheni hivihivi tu. Sijui wazazi walifanyaje mpaka wakaishi miaka yote hii pamoja. Lazima tuwape credits zao, sisi hatuna uvumilivu kama wao
Hao dada zenu ni pasua kichwa.'Yataka moyo wa simba, kufika Mt. Zion...' If you know, you know!
Dogo Ben, ametrip vibaya sana. Vipi jibaba anataka talaka, au ashachoka kukaliwa chapo? Ile ilkuwa pia yeye alipize, alafu yule mwana angeifeel na kujitoa mwenyewe kiulaini, sio Ben kukimbilia mahakama. Sasa ona anatia vidume aibu tu!
Wa KE mbone safi tu, mkielewana basi freshi, ukimzingua basi ushaharibu. Ma 'silent-killers' huwaga hawa warembo wetu, nakwambia utanywea mwenyewe akikupa comeback yake!
Sio wote, kiasi tu. Alafu kuonyeshana unyonge sio poa. So ukizingua, anazingua pia 😂😂😂Hao dada zenu ni pasua kichwa.
Wanawake wanakuwa wababe kama wanaume!
Point of correction, heshima na unyenyekevu siyo unyongeSio wote, kiasi tu. Alafu kuonyeshana unyonge sio poa. So ukizingua, anazingua pia
Some pple take advantage of that.Point of correction, heshima na unyenyekevu siyo unyonge
Yah sure.Some pple take advantage of that.