Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,796
- 6,444
Kuna watu wanalipwa posho mkononi anaona uvivu kwenda kudeposit. Inawezekana kabisa na mimi nimeshalala mara nyingi ndani nina milioni moja hadi mbili sema nnapoziweka hata ukinivamia hutazipata na pia sijioneshi.Hii ni chai kabisa. Huwezi kuacha hela nyingi kiasi hicho kwenye suruali. Mimi hata iweje nilishindwa kabisa kutoa wallet au pesa mfukoni Ni Bora hiyo suruali niitupe uvunguni au niiweke chini usawa wa dirisha

