Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
acha wehu wako, sio kila chama ni ccm.au unataka wote tuwe wachaga ndio uridhike
Punguza jazba mkuu, haiwezekani wote tuwe na mtazamo wa aina moja.
Kuwa tayari kupokea changamoto zitakazokujia hata kama zitakukera...