Hatimaye ADC yapata Usajili wa Kudumu

Kamuulize mumeo Mtatiro wa CUF ndio anaifahamu vema.

Naona unaendeleza uPOMPO wako tena, "mumeo Mtatiro" ndio nini tena hiyo? Au chama CHAKO unachokishabikia kina sera za ukameruni?! Hivyo kila unayemuona unamtazama kwa muono huo?
 
Naona unaendeleza uPOMPO wako tena, "mumeo Mtatiro" ndio nini tena hiyo? Au chama CHAKO unachokishabikia kina sera za ukameruni?! Hivyo kila unayemuona unamtazama kwa muono huo?
ha haaa ha ha ha ha umejuaje? eneza sera Mkuu.
 
Mheshimiwa Rashid Hamad (Mweye chama) atakuwepo hapo Lamada? ama ndiyo bado anafanya unafiki? Kwani tunajua yeye ndiye mwenye chama na nyie wengine wote ni watumishi tu.

Amealikwa Kama mlezi na tunaamini atahudhuria na kutupatia Nasaha zake kidogo kwani safari ndio kwanza inaanza. Hapo kwenye blue SIKUJUA Kama kuTII AMRI ya Mahakama ni Unafiki........Aisee kazi ipo! Ndio Maana kuna ambao wako mahakamani sasahv wanatakiwa wajitetee ni kwa nini wasifungwe jela?
 
Hamna jipya hapo zaidi ya kuongeza watu wakula ruzuku za walipa kodi

angalia vile wavyo iga hadi rangi za bendera ili kuwachanganya wananchi

karibu sana na huku kwetu muone
 
NDIO.......MHE. Hamad Rashid Mohamed ni mlezi WA ADC Kama alivyo Sabodo kwa Chadema.
"Mficha maradhi,kifo humuumbua"
Hapo naona umeongea kama vile umetoka kuanguka kwenye pikipiki.Sabodo na CDM wameingiaje?unataka kulinganisha sabodo na Hamad?wewe zungumzia Hamad ni nani kwenye hicho chama.
Kwa mtizamo wangu Hamad ndio yuko nyuma ya uanzishwa wa hicho chama kutokana na Mwahibu ya Uroho wa madaraka yaliyomkuta.
Alianza kwanza bungei kwa kutaka uongozi kwenye kambi ya upinzani,CDM walipomnyima akajiunga na wenzie kuanzisha kitu kisichokuwepo eti kambi ya upinzani isiyo rasmi.Hiyo kama haitoshi, akafanya mipango ya kumpindua Seif kiti cha ukatibu mkuu,bila kujua kwamba Seif kufika hapo,alipambana kweli kweli na aliisha nyea hata ndoo.seif Sharif , akaamua kumpa za uso.akakimbilia Mahakamani ili awe na mwenzie Kafulila,yaani wabunge wa mahakama.Amenzisha hicho chama akipima kwanza upepo.
Hiki chama kimekaa ki CUF ,CUF yaani CCM C ,yaani ni kwamba CCM imeoa mitala.Unaficha moto wakati moshi umeonekana.Huu unafiki ndio umetufikisha hapa tulipo.Na hiki chama mbele ya safari kitapendwa sana na wana Uamsho.Mie yangu macho.
 
I hope nyie sie kile chama cha kaskazini kama cha wenzetu fulani wapenda vurugu na kutofuata sheria. Ila hiyo rangi nyekundu kwenu yamaanisha nn? kwani kwa wenzenu ina maana ' TUTAMWAGA DAMU KWA NJIA YOYOTE ILI MRADI TUINGIE IKULU'.

Nnachoelewa mie ni kuwa wanaouawa huwa wanapigwa risasi na askari wa serikali ya CCM, meli zinazozama baharini ni kafara za kuimarisha utawala wa jamaa zetu...labda useme lingine.
 
ADC, Mtasimaisha mgombea Igunga na Arusha Mjini kwenye chaguzi ndogo za ubunge.
 
Ukitaka mabadiliko ya kweli jumuika na waliopo ila ukiwa na uchu wa madaraka anzisha taasisi yako ili uwe bosi.
 
ADC, Mtasimaisha mgombea Igunga na Arusha Mjini kwenye chaguzi ndogo za ubunge.

Naam, chama Chetu kimepokelewa vizuri mno na waTanzania kimekubalika sasa ni Wajibu wetu kuelekeza nguvu zetu kila eneo Kama njia pekee ya kufikia malengo yetu ya Kushika dola. Na sio kwenye nafasi za Ubunge tu, tunataraji kusimamisha hata wagombea WA Udiwani kwani kuna kata nyingi tu zilizoko wazi.......tutasimamisha wagombea inshaallah.
 
Naam, chama Chetu kimepokelewa vizuri mno na waTanzania kimekubalika sasa ni Wajibu wetu kuelekeza nguvu zetu kila eneo Kama njia pekee ya kufikia malengo yetu ya Kushika dola. Na sio kwenye nafasi za Ubunge tu, tunataraji kusimamisha hata wagombea WA Udiwani kwani kuna kata nyingi tu zilizoko wazi.......tutasimamisha wagombea inshaallah.

Safi sana ADC kazeni buti tuko nyuma yenu, hawa wengine wao sera zao za kuchombeza watu wakapigwe risasi za moto tu wao kimya.
 
Back
Top Bottom