Katika hali isiyokuwa ya kutarajiwa kiungo mshambuliaji yaya toure wa manchester city amesaini mkataba wa miaka 2 kuichezea arsenal. Toure (31) amengia katika mvutano na club yake wiki iliyopita ikisemekana hakuthaminiwa ktk siku yake ya kuzaliwa. Mkataba huo wa siri utatangazwa rasmi mara baada ya kombe la dunia. Toure ambaye ameuzwa kwa pauni 50 milioni atakuwa ni mchezaji ghali wa clab hiyo baada ya kuvuna rekodi ya mjeruman mesut ozil.