mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
Hure...........
Week kadhaa zilizopita nilikuja na mada hapa JF kwamba naombeni msaada wa kunitafutia viagra ili ini boost ,hii ilitokea baada ya kushusha idadi kutoka 5-2 per night ghafla kiasi kwamba ilimsababishia mke wangu kua na wasiwasi kua namsaliti ndo maana nimempunguzia haki yake,wapo waliokuja na ushauri nitumie mnyaa mkuu Bujibuji, ulitoa ushauri huu,wengine wakashauri mazoezi n.k lakini nilifanya mpango nikaipata nikapimwa uzito na pressure then nikapewa kiwango cha viagra kinachostahili,aisee baada ya siku 2 tu heshima ilirudi na ikapanda hadi ikafikia 6,sasa nadiriki kusema na kushauri vijana wenzangu tulio 20s -35s tafuta hii kitu usidharaulike na sitapenda kuona mdada kama Zahra white anakuja na maada hapa eti mnakera mnatoa kamasi tu hamana mpango kabisa, nataka aje hapa aseme jana nilikimbia ghetto kwa msela nikasahau kufuli kichapo kilikua kikali jamaa bado kasimama bila miguu
Nawakilisha
Week kadhaa zilizopita nilikuja na mada hapa JF kwamba naombeni msaada wa kunitafutia viagra ili ini boost ,hii ilitokea baada ya kushusha idadi kutoka 5-2 per night ghafla kiasi kwamba ilimsababishia mke wangu kua na wasiwasi kua namsaliti ndo maana nimempunguzia haki yake,wapo waliokuja na ushauri nitumie mnyaa mkuu Bujibuji, ulitoa ushauri huu,wengine wakashauri mazoezi n.k lakini nilifanya mpango nikaipata nikapimwa uzito na pressure then nikapewa kiwango cha viagra kinachostahili,aisee baada ya siku 2 tu heshima ilirudi na ikapanda hadi ikafikia 6,sasa nadiriki kusema na kushauri vijana wenzangu tulio 20s -35s tafuta hii kitu usidharaulike na sitapenda kuona mdada kama Zahra white anakuja na maada hapa eti mnakera mnatoa kamasi tu hamana mpango kabisa, nataka aje hapa aseme jana nilikimbia ghetto kwa msela nikasahau kufuli kichapo kilikua kikali jamaa bado kasimama bila miguu
Nawakilisha