Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,250
- 2,162
Aibu sana kwa kweli mtoto wa kiume mwenye age ya 20-35's kutumia viagra na why iwe hivyo?? inahuzunisha sana tena sana isitoshe huwa haisaidii kabisaaa zaidi ya madhara,why usipige mazoezi ya kutosha kwa siku mara moja kwa mda wa siku 5 kwa week unaacha Saturday na Sunday??watu wavivu sana wa mazoezi...
Ila fahamu itakuja kukutesa hiyo viagra na utajuta kuitumia,mapenzi sio kunywa viagra bali ukijua jinsi ya kumfurahisha na kumuweka mwenzako basi hapo sio tatizo lazima afurahi sana tu...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ila fahamu itakuja kukutesa hiyo viagra na utajuta kuitumia,mapenzi sio kunywa viagra bali ukijua jinsi ya kumfurahisha na kumuweka mwenzako basi hapo sio tatizo lazima afurahi sana tu...
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums