Hatimae siri ya muda mrefu imevuja!

Hatimae siri ya muda mrefu imevuja!

Laana hiyo imwendee nyerere aliyeikana

Huyo laana tayari imeishampata lililobaki ni sisi kuchukua uamuzi wa kumrejeza mama yetu Tanganyika ili mvua ya baraka ianze kumwagika.
 
Wazanzibari wenyewe (wasio wanasiasa) hawataki muungano na watanganyika wa kawaida hawautaki muungano na makero yake. Yaelekea wapendao muungano ni wanasiasa tu. Wasitumezeshe hii kitu ni ngumu!.
 
Ahadi za Mungu ziko wazi kwenye maandiko yake matakatifu, hapa namaanisha Biblia, ichimbue utajionea mwenyewe.

Kwa hiyo katika ahadi hizo za kwenye Biblia Tanganyika iliahidiwa lakini Tanzania haikuahidiwa?
 
Wazanzibari wenyewe (wasio wanasiasa) hawataki muungano na watanganyika wa kawaida hawautaki muungano na makero yake. Yaelekea wapendao muungano ni wanasiasa tu. Wasitumezeshe hii kitu ni ngumu!.

Umenena. Huu ni muungano wa wanasiasa sio wa wananchi; japo wanasiasa nao ni wananchi!
 
Japo suala lenyewe limesemwa na chizi, naunga mkono 100%. Tanganyika yetu tuidai, hakuna kulala.

Muungano wa kweli ni ule utakaoitambua Tanganyika km inavyotambulika Zanzibar or else Zanzibar uwe mkoa wa Tanzania, full stop.
 
Japo suala lenyewe limesemwa na chizi, naunga mkono 100%. Tanganyika yetu tuidai, hakuna kulala.

Muungano wa kweli ni ule utakaoitambua Tanganyika km inavyotambulika Zanzibar or else Zanzibar uwe mkoa wa Tanzania, full stop.

Si kusemwa na chizi bali ndivyo nchi ilivyo in her majority!
 
Laana hiyo imwendee nyerere aliyeikana

Iliandikwa "Alilaaniye taifa teule(Israel) nae amelaaniwa" Mzee Mchonga aliilaani Israel na kuitambua Palestina.
Pia iliandikwa "Kwa jina lako(Israel) mataifa yote watabarikiwa"!!!!!!!!!!!

Baraka itapatikanaje kwa mtindo huo??
 
Back
Top Bottom