PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 645
- 501
Kama akili yako ni timamu huwezi kuelewa ni kwa nini tz ni nchi maskini wakati ina rasilimali za kutosha. Watakaojifanya kuelewa ni kujipa faraja tu lakini a very sensible human being will never understand. Tanzania is never good in anything but majungu in everything. Kwa jicho la kawaida huwezi kuelewa isipokuwa utaelewa tu endapo utatumia jicho la kiroho, ambayo kwa bahati mbaya sio wengi wenye hii karama, wako wachache sana!
Hapa siri ni hii hapa. TANGANYIKA ambayo maana yake ni bustani ya maraha; ilitelekezwa hivyo laana ya kuitelekeza taifa lenu lenye jina zuri na kila aina ya baraka ndio chanzo cha tanzania kuwa hivi ilivyo huku watz wenyewe tukionekana km misukule. Pindi taifa letu la Tanganyika litakaporudishwa ndipo hapo neema aliowahidini Mungu itawarejelea na kufungulia ufahamu wenu uliopotea. Mmelikana taifa lenu na taifa lenu halina budi kuwakana. Endeleeni kumuomba Mungu awape ufahamu kuhusu hili!
Hapa siri ni hii hapa. TANGANYIKA ambayo maana yake ni bustani ya maraha; ilitelekezwa hivyo laana ya kuitelekeza taifa lenu lenye jina zuri na kila aina ya baraka ndio chanzo cha tanzania kuwa hivi ilivyo huku watz wenyewe tukionekana km misukule. Pindi taifa letu la Tanganyika litakaporudishwa ndipo hapo neema aliowahidini Mungu itawarejelea na kufungulia ufahamu wenu uliopotea. Mmelikana taifa lenu na taifa lenu halina budi kuwakana. Endeleeni kumuomba Mungu awape ufahamu kuhusu hili!