Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,411
- 14,179
Duu umenjfurahisha .lakini si baba yako huyo kabisaAje awekeze kwangu tu mm mzee mwenzie...
Duu umenjfurahisha .lakini si baba yako huyo kabisaAje awekeze kwangu tu mm mzee mwenzie...
Kidume unashobokea pesa za mwanaume mwenzio?Ukubwa wangu uko wapi sina ndevu za chuma mimi
Fala wewenadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
😂😂😂😂😂😂Ukubwa wangu uko wapi sina ndevu za chuma mimi
Sasa wakike si ataolewa ataenda kuanzisha mji wa mume wake! Nadhani ndio maana hawapewi kipaumbele sana ila dume la mbegu lazma liendeleze u Bin wa mshua.Kwani hao wa kike sio watoto wake?
Kwenu watoto ni wa kiume pekee wanaorithi?
Vijana wenzangu, tuwatengenezee watoto maisha yao. Hela za kustaafu ziwe zetu, watoto wasizitolee macho.
Kama unazaa zaa tu kama kuku huku hujawawezesha watoto wako ndio wanakuja kua kama huyu anaetegemea mafao ya baba yake aolee.
Tusisahau watoto wa kike pia ni watoto wetu, wana haki ya kurithi mali ya baba yao.
Wanangu mbona mnamuua sana kijana. Yeye babaake anamkubali sana ndio maana kampa fursa ya kuhakiki fungu!Acha upumbavu mwache baba atumie pension yake..!Tafuta zako ndio ufanye mahali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya mwanangu pitia City Pub tupange mipango ya hio 98M nishaagiza kuku choma mmoja na bia zetu ziko frijini hapo! Chap basi40/40 Tabata bima au kuna nyingine? Hela ya baba ndio nikahonge staki laana
Miaka 65 ni mzee au lishe mbovu! Anatakiwa kwanza aoe mke kijana ili mwili urudi na mtafutie kausafiri ka vijana sio bajaji tupa huko.Wakuu habari zenu Jana
Mzee wangu ni mstaafu alistafu mwezi Wa pili Mwaka huu hivyo 25% haimuhusu sasa Jana salio lake likasoma 98M kwakuwa Mimi ndio mtoto wake kidume wengine wakike imenibidi nisafiri toka dar kwenda mbeya kuhesabu kama ziko sahihi sasa hivi ninatafakari cha kumshauri afanye maana age yake imeenda ana 65 years nyumba anazo mbili sehem tofaut mashamba anayo ng'ombe amefuga boda boda anayo sasa wakuu nisaidieni mawazo awekeze wapi ili angalau asikaukiwe nadhani namimi sasa naweza kuoa maana Mahali imepatikana
Dah, Mkuu natumaini unatania! Yaani salio liliposoma tu mafao ya Mzee wewe ukachukua likizo ya dharura kwenda 'kuzihesabu', wakati ziko Benki?20m mkuu