Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,004
Halafu katumbo ka pricy kalikuwa kadogo jamani.Ndoa imewahi kujibu hii mpk raha..!!
Halafu katumbo ka pricy kalikuwa kadogo jamani.Ndoa imewahi kujibu hii mpk raha..!!
Yani mpk raha kadogoHalafu katumbo ka pricy kalikuwa kadogo jamani.
Ule msemo wa kejeri wa mwanaume asiyebahatika kupata mtoto baada ya kudeti na mdada kwa muda mrefu kuitwa Jux nazani Sasa umejifia rasmiMsanii wa wa kidigitali wa muziki wa bongo fleva Juma Jux masaa machache yaliyopita ameshare kwenye account yake ya instagram picha katika matukio zinazoonyesha yuko hospitali inakosemekana ni nchini Canada akiwa na mke wake na mtoto wao ambae amejifungua siku ya jana
Mke wa Juma Jux Priscilla kutoka Niegeria amemjengea heshima Juma Jux kwa kumzalia mtoto wa kiume ambae wamempa jina la Rakeem Mkambala
View attachment 3452347
Dah jamaa kachelewa muvi nyingi sana yule sista mchoma mishikaki na mihogo Ali vimba tumbo akamdanganya jamaa ana ujauzito jamaa kafurahi BADAE ikasemekana ilikua mchongo wa mtoto wa town kwenye harakati za uchunaji ilimuumiza sana jamaa, veemoney alidai jamaa Hana nguvu za kiume binafsi walimdiss kuoa nje halaf demu wa kawaida ila hawakujia jamaa kawachoka Malaya wa dar na tamthilia zaoNimejifunza kuwa tuwe na subra,, tusisikilize maneno ya watu,,
Hao hao wanaompa hongera ndo walikuwa wa kwanza... Kumpiga vita
Hongera prisy na Jux...
Mmeanza waja wa mungu dahhh, ogopa sana wivuuuuHuyu jamaa siyo upinde?
Ulisha mpa mizigo akashindwa?Acha uongo jux Hana uwezo wa kuzalisha
🙌🙌🙌Mtoto wa davido huyo
Ulikuwepo kipindi wanagegedanaMtoto wa davido huyo
Wameshamfungulia acc insta ?Msanii wa wa kidigitali wa muziki wa bongo fleva Juma Jux masaa machache yaliyopita ameshare kwenye account yake ya instagram picha katika matukio zinazoonyesha yuko hospitali inakosemekana ni nchini Canada akiwa na mke wake na mtoto wao ambae amejifungua siku ya jana
Mke wa Juma Jux Priscilla kutoka Niegeria amemjengea heshima Juma Jux kwa kumzalia mtoto wa kiume ambae wamempa jina la Rakeem Mkambala
View attachment 3452347
Mademu aliokuwa anakutana nao ni mapaka shume ni kama manara asinge kua na mtoto hao mademu aliokutana nao ni wafanya biasharaJux yuko 36 bado kijana sana ,akiamua hapo anawapanga mpaka miaka 45 ana watoto hata wanne ...Mlikuwa mnampa sana presh kijana wa watu.
Mashoga utawaweza ndugu YANGU wao washa zoea kupandwa wamebaki na wivuu tuUkitaka kujua wanaume hawapendani.. wewe muongelee mwanaume mwenzao kwa jambo jema.
Wee utaona comment zao, sasa mtu kapata mtoto badala mumpongeze ndio kwanza mtu anaropoka eti jux hazalishi.
Kwa hiyo akiwa faragha na mkewe ulikuwepooo
Mke wa Davido na huku upo ?Mtoto wa davido huyo
😁😁😁Huyu jamaa siyo upinde?
Aseeeh hata nijapokawia nitamgoja kilicho rizki yangu,,,,Hakika,subra kitu muhimu sana
Ukitaka kujua wanaume hawapendani.. wewe muongelee mwanaume mwenzao kwa jambo jema.
Wee utaona comment zao, sasa mtu kapata mtoto badala mumpongeze ndio kwanza mtu anaropoka eti jux hazalishi.
Kwa hiyo akiwa faragha na mkewe ulikuwepooo