Na ww ni mlaji wa chipsi...kama ww ni jinsia ya kike sawa! Lkn km wewe siyo jinsia hiyo basi ww ni kavulana bila shaka utakuwa bado unakojoa kitandani...na kulilia sousage kwa mama yako!
Na ww ni mlaji wa chipsi...kama ww ni jinsia ya kike sawa! Lkn km wewe siyo jinsia hiyo basi ww ni kavulana bila shaka utakuwa bado unakojoa kitandani...na kulilia sousage kwa mama yako!
Hapo ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia. Huwezi tukana mtu kwa aina ya chakula kisa wewe hujakulia mazingira hayo. Alafu na wewe unataka uitwe mstaarabu
Hapo ndipo uwezo wako wa kufikiria ulipoishia. Huwezi tukana mtu kwa aina ya chakula kisa wewe hujakulia mazingira hayo. Alafu na wewe unataka uitwe mstaarabu
Naona jiwe la gizani limekupata kwani ni uongo?...binafsi nakuwa na wasiwasi kama hata kijiko unaweza kukinyanyua ili kula chakula! Maana chipsi haziliwi kwa kijiko....
Sio chipsi tu, mpaka kiti moto imepanda bei toka 10000 kwa kilo mpaka sh 12000, nimekwenda jana pale kwa shirima Namanga na ki sh 15000 changu nikiwa na lengo la kupata japo bia2. Ilibidi niagize maji tu.
Hivi lile dude walilosema lingeigonga dunia mwanzo wa mwezi huu liliishia wapi?
Maana mi nlishauza kila kitu nkajiandaa na mwisho wa dunia!
Ni heri lile dude(NIBIRU) lije tufe kuliko haya mateso ndani ya hii nchi!