Baada ya bei ya nyama na sukari kupanda,hatimae chipsi kavu Nazo zapanda bei maeneo mbali mbali ya jiji la Dar kutoka Tsh.1500 tuliyoizoea mpaka Tsh. 2000 kwa sahani 1,kweli namba tutazisoma na kuzihesabu...
Lishe bora kwa mwanaume humwezesha kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo barabara....
Kuna vyakula ambavyo mwanaume akila ni kujinenepea tu kihovyohovyo na akili kulemaa...