Hati ya kukamatwa Mwigulu Nchemba

Hati ya kukamatwa Mwigulu Nchemba

NYADOGI

Senior Member
Joined
Apr 1, 2013
Posts
132
Reaction score
24
Naomba IGP asiishie kuongea na waandishi WA habari tu Bali atoe hati ya kumkamata mwigulu na akapekuliwe nyumbani kwake.aidha kama anataka kweli itendeke amtangaze kuwa mwigulu ni mtu hatari kwa usalama WA Taifa
 
Hawatamtangaza kuwa ndie hatari, kwakuwa wao ndio hatari zaidi!

Watanzania ndio wenye dhamana yakumtangaza kuwa Mwigulu ni hatari sambamba na waajiri wake!
 
Umeona wapi MBWA KOKO anabweka? Achilia mbali kumuuma Lord wake.....
 
""Urukapo hakikisha umeagana na nyonga"", IGP Mwema akitangaza kuwa Mwigulu ni hatari kwa taifa huo u-IGP atakuwa hana, anaogopa kuwa kama Amran Kombe.
 
Mwingulu anafurahi anavyoua ndugu zetu.ila ajue kama ameua kwa bomu natakufa kwa bomu.tumechoka kuhuzuka bora-
 
azimio la arusha lilizaliwa arusha,mauaji yasio na hatia leo hii yanatokea arusha,hii kwa jicho la tatu hii si kuizima CDM ni kuamsha M4C.
 
nilidhani hati imetolewa kumbe unalalamika mkuu
 
""Urukapo hakikisha umeagana na nyonga"", IGP Mwema akitangaza kuwa Mwigulu ni hatari kwa taifa huo u-IGP atakuwa hana, anaogopa kuwa kama Amran Kombe.

Tumuhurumieni sana mkuu wetu, wakati anateuliwa hakujua kuwa aina hii ya utawala itakuepo, anafanya kazi yake kwa stress sana ili tu kutetea nafasi yake na hii ndo opportunity kubwa ya ccm, wengi wetu tunatumia id feki kuponda ila hata makazini kwetu tunaona maovu mengi tunaumia ila tunakauka kwa kutetea mkate wetu.
 
Back
Top Bottom