HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
Habari wanajf...
Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni
Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine??
Nahitaji msaada wakuu
kwani kama huwezi c ufunge domo lako?
kwani kama huwezi c ufunge domo lako?
Shiiiiiii, kimya kimya. Tunafunga mwaka kwa kupost.
inategemea mnawasiliana nini?
kwa frequency gani?
kwa njia gani?
malengo ya kuwasiliana ni yapi ?
je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana?
ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki.
Halafu kifuate nini?
Usiwe na ubongo wa Khukhu
Bazazi!
mpuuzi mwenyewe...nyambafu we
ucniletee udume wako hapa,hukohuko kwa mkeo
Teh teh teh!mambo ya kupeana kama pipi!Utaanza kukumbuka mazuri yake, taratibu unakumbuka na utamu wake mwisho utampa!!!
how do you see is it tatizo au sio?
Mh!mkuu kwenye mapenzi ni lazima tuwe wabinafsi!tatizo binadamu tumekuwa wabinafsi sana
Duh!mchina acha hasira!msamehe bure!mpuuzi mwenyewe...nyambafu we
ucniletee udume wako hapa,hukohuko kwa mkeo
nyani haoni kundule....
Mh!mkuu kwenye mapenzi ni lazima tuwe wabinafsi!
Mkuu mimi sioni tatizo la kuwasiliana,hofu yangu ipo kwenye kurudiana!kwahiyo mkuu wewe unataka uendelee kuwasiliana na ex wako ,lakini mwenzako akiwasiliana ni tatizo?
Habari wanajf...
Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni
Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine??
Nahitaji msaada wakuu