Z zhi you nhi Member Joined Dec 16, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Dec 31, 2012 #1 Habari wanajf... Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine?? Nahitaji msaada wakuu
Habari wanajf... Natatizwa na hili swala jaman nisaidieni Hv kuna madhara yoyote kuendelea kuwasiliana na x-boy /x-girl wako,wakati unadate na mtu mwingine?? Nahitaji msaada wakuu
Bazazi JF-Expert Member Joined Aug 18, 2008 Posts 2,806 Reaction score 3,502 Dec 31, 2012 #2 Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi!
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,104 Reaction score 165,309 Dec 31, 2012 #3 Utaanza kukumbuka mazuri yake, taratibu unakumbuka na utamu wake mwisho utampa!!! how do you see is it tatizo au sio?
Utaanza kukumbuka mazuri yake, taratibu unakumbuka na utamu wake mwisho utampa!!! how do you see is it tatizo au sio?
K kichwaones JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 399 Reaction score 49 Dec 31, 2012 #4 no answer.
Nicole JF-Expert Member Joined Sep 7, 2012 Posts 4,274 Reaction score 2,520 Dec 31, 2012 #5 hahahahah@ Bazazi bana!!!1 Bazazi said: Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi! Click to expand...
hahahahah@ Bazazi bana!!!1 Bazazi said: Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi! Click to expand...
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Dec 31, 2012 #6 inategemea mnawasiliana nini? kwa frequency gani? kwa njia gani? malengo ya kuwasiliana ni yapi ? je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana? ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki.
inategemea mnawasiliana nini? kwa frequency gani? kwa njia gani? malengo ya kuwasiliana ni yapi ? je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana? ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki.
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Dec 31, 2012 #7 Evelyn Salt said: Utaanza kukumbuka mazuri yake, taratibu unakumbuka na utamu wake mwisho utampa!!! how do you see is it tatizo au sio? Click to expand... kumbeeeeeeeeeeeee!
Evelyn Salt said: Utaanza kukumbuka mazuri yake, taratibu unakumbuka na utamu wake mwisho utampa!!! how do you see is it tatizo au sio? Click to expand... kumbeeeeeeeeeeeee!
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,104 Reaction score 165,309 Dec 31, 2012 #8 asakuta same said: kumbeeeeeeeeeeeee! Click to expand... I love u honey!!!!!
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Dec 31, 2012 #9 Evelyn Salt said: I love u honey!!!!! Click to expand... karibu mpnz ,tutaongea vizuri nikirudi nyumbani.........
Evelyn Salt said: I love u honey!!!!! Click to expand... karibu mpnz ,tutaongea vizuri nikirudi nyumbani.........
Access Denied JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 655 Reaction score 211 Dec 31, 2012 #10 Pepo hilo acha kabisa.
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 Dec 31, 2012 #11 Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu.
Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu.
A asakuta same JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 14,829 Reaction score 5,039 Dec 31, 2012 #12 King'asti said: Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu. Click to expand... tatizo binadamu tumekuwa wabinafsi sana
King'asti said: Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu. Click to expand... tatizo binadamu tumekuwa wabinafsi sana
Z zhi you nhi Member Joined Dec 16, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Dec 31, 2012 Thread starter #13 Bazazi said: Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi! Click to expand... kwani kama huwezi c ufunge domo lako?
Bazazi said: Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi! Click to expand... kwani kama huwezi c ufunge domo lako?
Z zhi you nhi Member Joined Dec 16, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Dec 31, 2012 Thread starter #14 asakuta same said: inategemea mnawasiliana nini? kwa frequency gani? kwa njia gani? malengo ya kuwasiliana ni yapi ? je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana? ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki. Click to expand... Asante mkuu
asakuta same said: inategemea mnawasiliana nini? kwa frequency gani? kwa njia gani? malengo ya kuwasiliana ni yapi ? je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana? ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki. Click to expand... Asante mkuu
Z zhi you nhi Member Joined Dec 16, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Dec 31, 2012 Thread starter #15 Access Denied said: Pepo hilo acha kabisa. Click to expand... Nashukuru mkuu
MESTOD JF-Expert Member Joined Nov 12, 2010 Posts 4,798 Reaction score 2,008 Dec 31, 2012 #16 Bazazi said: Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi! Click to expand... Shiiiiiii, kimya kimya. Tunafunga mwaka kwa kupost.
Bazazi said: Nani kasema? Je hilo nalo ni tatizo la kuja MMU kuuliza? Bazazi! Click to expand... Shiiiiiii, kimya kimya. Tunafunga mwaka kwa kupost.
Z zhi you nhi Member Joined Dec 16, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Dec 31, 2012 Thread starter #17 King'asti said: Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu. Click to expand... wanawasiliana kama kawaida tu
King'asti said: Kwani wewe huyo unaemdate akiwasiliana na ex wake utajali? Kama hautojali naye akiwasiliana na ex endelea tu. Click to expand... wanawasiliana kama kawaida tu
U UZEE MVI JF-Expert Member Joined Feb 6, 2011 Posts 232 Reaction score 58 Dec 31, 2012 #18 asakuta same said: inategemea mnawasiliana nini? Kwa frequency gani? Kwa njia gani? Malengo ya kuwasiliana ni yapi ? Je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana? Ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki. Click to expand... nimeipenda sana hii. God bless you asakuta same
asakuta same said: inategemea mnawasiliana nini? Kwa frequency gani? Kwa njia gani? Malengo ya kuwasiliana ni yapi ? Je hayo malengo yanatofautiana au yanafanana? Ila mwisho wa siku ukaribu haukubaliki. Click to expand... nimeipenda sana hii. God bless you asakuta same
Samboko JF-Expert Member Joined Oct 30, 2011 Posts 5,421 Reaction score 7,877 Dec 31, 2012 #19 Si vyema kuendeleza mawasiliano ili kumlinda ulienae, maana hakuna kitu kinachoumiza kama ukijua boy/girl wako anawasiliana na x wake.
Si vyema kuendeleza mawasiliano ili kumlinda ulienae, maana hakuna kitu kinachoumiza kama ukijua boy/girl wako anawasiliana na x wake.
Z zhi you nhi Member Joined Dec 16, 2012 Posts 60 Reaction score 18 Jan 1, 2013 Thread starter #20 Samboko said: Si vyema kuendeleza mawasiliano ili kumlinda ulienae, maana hakuna kitu kinachoumiza kama ukijua boy/girl wako anawasiliana na x wake. Click to expand... kushukuru mheshimiwa
Samboko said: Si vyema kuendeleza mawasiliano ili kumlinda ulienae, maana hakuna kitu kinachoumiza kama ukijua boy/girl wako anawasiliana na x wake. Click to expand... kushukuru mheshimiwa