Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,863
- 62,390
Nimekaa kuangalia hotuba ya rais ya kuvunja bunge, wabunge wengi sana wamo bungeni bila kuvaa barakoa wala bila social distancing ya kutosha. Hali hii ni hatari sana hasa baada ya serikali kuendelea kuwatangazia wananchi kuwa ugonjwa huo bado upo. Mfano jana Waziri mkuu alisema kuna wagonjwa takriban 66 nchini.
Katika hali kama hiyo hii ni hatari sana iwapo kuna watu wana virusi vya korona bila dalili (asymptomatic carriers) wanaweza kusambaza virusi miongoni mwao na pia kuupeleka huko kwenye kaya zao
Sisi kama taifa bado hatujawa serious kwenye kupambana na ugonjwa huu
Tunaona katika baadhi ya nchi kuna resurgence ya huu ugonjwa, kwa mfano Israel, China, South Korea n. k
Badala ya kuongea kwenye lips kuwa tuchukue tahadhari wakati matendo yetu yakiwa ni opposite, ni bora tuwe serious.
Korona inakuja kwenye waves, unaweza kukwepa wave ya kwanza ikaja wave ya pili, na ya tatu
Tukijisahau tunaweza kuja kujuta
Tuwe makini
Katika hali kama hiyo hii ni hatari sana iwapo kuna watu wana virusi vya korona bila dalili (asymptomatic carriers) wanaweza kusambaza virusi miongoni mwao na pia kuupeleka huko kwenye kaya zao
Sisi kama taifa bado hatujawa serious kwenye kupambana na ugonjwa huu
Tunaona katika baadhi ya nchi kuna resurgence ya huu ugonjwa, kwa mfano Israel, China, South Korea n. k
Badala ya kuongea kwenye lips kuwa tuchukue tahadhari wakati matendo yetu yakiwa ni opposite, ni bora tuwe serious.
Korona inakuja kwenye waves, unaweza kukwepa wave ya kwanza ikaja wave ya pili, na ya tatu
Tukijisahau tunaweza kuja kujuta
Tuwe makini