Hatari ya Corona leo bungeni, hawajavaa Barakoa

Hatari ya Corona leo bungeni, hawajavaa Barakoa

Kuna uwezekano pale ambapo mheshimiwa yupo corona hukimbia, haiwezi kumsogelea. Ndio maana havai barakoa na hata ule umati unaokusanyika kupata hotuba zake hawavai barakoa.
 
Back
Top Bottom