Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 49
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead)
madhara yake ni;
-Kuvuruga mfumo wa uzazi,
-usikivu kuwa mdogo kwa watoto,
-Upungufu wa akili
-Kuongeza uchizi na hasira za mala kwa mala,
Kazi kwetu watumiaji.
madhara yake ni;
-Kuvuruga mfumo wa uzazi,
-usikivu kuwa mdogo kwa watoto,
-Upungufu wa akili
-Kuongeza uchizi na hasira za mala kwa mala,
Kazi kwetu watumiaji.