Hatari rangi za nyumba

Kaitaba

JF-Expert Member
Jun 30, 2009
916
49
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead)
madhara yake ni;
-Kuvuruga mfumo wa uzazi,
-usikivu kuwa mdogo kwa watoto,
-Upungufu wa akili
-Kuongeza uchizi na hasira za mala kwa mala,

Kazi kwetu watumiaji.
 
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead)
madhara yake ni;
-Kuvuruga mfumo wa uzazi,
-usikivu kuwa mdogo kwa watoto,
-Upungufu wa akili
-Kuongeza uchizi na hasira za mala kwa mala,

Kazi kwetu watumiaji.

Utafiti huo umefanywa lini na kina nani e.g dr/prof/research associate....? rangi za maji au za mafuta? hizo rangi ni mported au local made? walitoa solution gani?
 
utafiti huo ni kwa mujibu wa muunganiko wa waganga na wachawi maarufu hapa jiji wasiotaka nyumba zipigwe rangi ila tuendelee kukandika kuta kwa nnya ya ng'ombe
 
Soma vizuri mkuu, utafiti umefanywa na Tanzania na India.

There must be a conflict of business interests here!
Hz rangi ni lini zimeanza kuwa na madhara hayo?, Mbona zinatumika tangu time-imemorial?
Weka sawa hii mambo, labda kama ni hizi za kisasa za silk etc!
 
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead)
madhara yake ni;
-Kuvuruga mfumo wa uzazi,
-usikivu kuwa mdogo kwa watoto,
-Upungufu wa akili
-Kuongeza uchizi na hasira za mala kwa mala,

Kazi kwetu watumiaji.
mara kwa mara
 
Utafiti uliofanywa na watafiti wa hapa nchini wakishirikiana na wale wa India wamegundua kuwa rangi zinazopakwa kwenye kuta za nyumba zina kiwango kikubwa cha madini ya risasi (Lead)
madhara yake ni;
-Kuvuruga mfumo wa uzazi,
-usikivu kuwa mdogo kwa watoto,
-Upungufu wa akili
-Kuongeza uchizi na hasira za mala kwa mala,
Kazi kwetu watumiaji.
...wa wapi wewe?? cheki red hiyo!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom