Jembemtaji
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 1,192
- 929
Tobaaa!! hiyo hospital iko mkoa gani?
Huyo mtoto aliyekuwa anafunwa yuko wapi mbona hayupo kwenye picha?
Tiba
Mleta Uzi acha uongo hii picha me ninayo Tangu mwaka Jana na nilitumiwa nikaambiwa mchawi amedondoka na Ungo Songea hivyo story ya hizi picha mpaka kesho haijulikani ni Kisa gani me naishi hapa Mbeya na Hospital ya meta hakuna Tukio la Namna hiyo ambalo limewahi kutokea hivyo usiuaminishe Umma kitu ambacho si cha kweli.
Huyo mtoto aliyekuwa anafunwa yuko wapi mbona hayupo kwenye picha?
Tiba
Mleta Uzi kama upo eneo la tukio niambie kweli upo maeneo gani me nakuja hapo manake naishi maeneo ya Jakalanda uongo wa namna hii sio mzuri kabisa
Imetokea nyuma ya hospital ya meta mkoani Mbeya.
Mleta Uzi kama upo eneo la tukio niambie kweli upo maeneo gani me nakuja hapo manake naishi maeneo ya Jakalanda uongo wa namna hii sio mzuri kabisa
hivi mkuu hospitali ya mkoa iko maeneo gani hapo Mbeya
Nadhani Huyu Kafumaniwa na Mweshimiwa Flani ili kuliua Soo ya Kesi ya Ugoni , Ikabidi ajifanye Mchawi maana sheria zetu hazitambui Uchawi.