Hatakuja kutokea kamwe Papa wa hivi

Hatakuja kutokea kamwe Papa wa hivi

Papa Black? Now way. Mmeiona Conclave? Papa mweusi never ever. Hatotokea kamwe.

Always Papa atakuwa Mzungu. Mweusi hapana
Watu wanataka Papa mweusi. Kwani wakatoli weusi ni % ya Wakatoliki wote duniani?
 
We unajua majukumu ya papa au unauliza ujinga tu, papa nikiongozi pia wa Rome, sio tu wa katoliki, sasa akiwa mweusi itakuja?
Sio kweli papa sio gavana au kiranja wa Rome usichanganye vatican na Rome.
 
Haiwezi kutokea kwa sababu pia Papa ni kiongozi wa kisiasa wa watu wa Rome. Eurocentrism na traditions zao haziwezi kukubali.
papa ni mtawala wa kisiasa wa Vatican city.Pamoja na kuwa Mzungu bado atatoka Ulaya hasa Italy.Huyu mwendazake ana asili ya Italy na ndo papa wa kwanza kutoka Latin America.Nani achague papa mweusi? Asilimia 38 ambayo ni makadinali 41 kati ya 108 watakaopiga kura wanatoka Ulaya,Latin America 19 na North America 5 .Hap wote ni wazungu.Afrika wapo saba tu.Halo unampata vipi papa Mwafrika?
 
Back
Top Bottom