Hataki relationship anataka situationship (story ni ndefu)

Hataki relationship anataka situationship (story ni ndefu)

Anaonekana alikuwa na matarajio makubwa saana kwa mshkaji wake wa State. Kumwacha imemuumiza na matarajio yake haamini kama ndiyo yameyeyuka.

Bado haja-move kwa jamaa yupo katikati mguu mmoja kwako mwingine unamatarajio jamaa wa state atarudi kana kwamba jamaa akijirudi tu binti asogeze mguu mmoja tu....

Kuwa makini unaweza kuumizwa wewe... nawe kuwa kama yeye mguu mmoja nje mwingine ndani.... maana kwa maelezo yako hayafurahii mahusiano yenu, haji-proud wala kuonyesha nje yupo na wewe.

BtW, kama umempenda unaweza kumbadilisha kisaikolojia taratibu ataelewa somo.....
Akili za mpakato izi
 
Do me a fucking favor, straighten out your own crap before you start criticizing mine.

sonoooofabitch.
Parents mistake[emoji90] [emoji90]

Cheap wasted sperm[emoji38] [emoji38]
 
Anaonekana alikuwa na matarajio makubwa saana kwa mshkaji wake wa State. Kumwacha imemuumiza na matarajio yake haamini kama ndiyo yameyeyuka.

Bado haja-move kwa jamaa yupo katikati mguu mmoja kwako mwingine unamatarajio jamaa wa state atarudi kana kwamba jamaa akijirudi tu binti asogeze mguu mmoja tu....

Kuwa makini unaweza kuumizwa wewe... nawe kuwa kama yeye mguu mmoja nje mwingine ndani.... maana kwa maelezo yako hayafurahii mahusiano yenu, haji-proud wala kuonyesha nje yupo na wewe.

BtW, kama umempenda unaweza kumbadilisha kisaikolojia taratibu ataelewa somo.....
Jamaa una maono sana ivo ulivyosema ndivo ukwel ulivyo binafsi nikiw kama mtoto wa kike nishamwelew uyo dada
Duh chamsingi mkaka achana na uyo dada Bado ajampenda coz anamatumain ya Yule wa ulaya
 
Mimi nimegundua unafanya kazi benki mlimani city, mengine humo sijaelewa
 
Kaumizwa
Hana uhakika tena na mahusiano anaogopa tena kuumizwa!

Lkn ww unaweza kumbadirisha, halafu muulize tu ili siku ukiamua kutafuta mtu mwingine asikulaumu
 
From the situation, seems like she's not real deserve to be in relationship with you..all she's doing is to fill her sex desires.. Usizame totally..mfanye second option na usioneshe moja kwa moja umefall kwake..utaumia..siku akiihitaji mpagawishe kisawasawa..at the end she'll call you "bae"..
 
Kila dem au mani unaekutana nae ni either yuko kwenye mahusiano ama alikuako kwenye mahusiano,so cha msingi ili uweze kupenya kwa watu hao kama unamtaka,lazima ujiongeze ,yaan kama anamtu amwache mtu wake awe nawew ama kama hana mtu,amsahau aliekuaga nae akupende wew,so mahusiano lazma ya take time,mi naona huyo dada yuko sahih,wala hana shida,na sio,kwamba hakupend,ila yuko kwenye transition period.mpe muda akupende,a enjoy kua nawew usiwe na haraka,kubal kwenda kwenye harus,na yote anayokwambia,kama unampenda lakn
 
Crdb bila shaka kile chuma cheupe bila shaka dah aya bwana umejilia mnofu [emoji23][emoji23]
 
We ni ....,hiyo ndio ganstar love,hebu niunganishe naye I see
 
NIMESHA MJUA [emoji23][emoji23][emoji23] kama ndio huyo nimjuaye kaka piga tu, huyo ndivyo alivyo,,,,,,, KISEBUSEBU NA KIROHO PAPO[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tuu kwa detail alizotoa lazima kuna baadhi ya watu watamjua mhusika. Hata hivyo is not a big deal
 
Nilijua tuu kwa detail alizotoa lazima kuna baadhi ya watu watamjua mhusika. Hata hivyo is not a big deal
Setting ya mahali tunapo fanyia kazi ni tofauti sio mlimani city, ila nisehemu ambayo matawi mawili ya bank tunayoifanyia kazi yapo karibu.......Nilijua kuna mtu angefuatilia nani kaajiriwa mwezi wa sita mwaka jana na kahamishwa ingekuwa rahisi kutrace......🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom