Hataki relationship anataka situationship (story ni ndefu)

Hataki relationship anataka situationship (story ni ndefu)

Kwenye vitu siwezi ni kutoa ushauri kwa kijana aliyezama kwenye mapenzi au kijana mwenye pesa.
 
Hahah we kula round thing then chill bro...fanya mambo yako tu siku ukimiss unaita unaweka. Thats a players circle, stress za nini mzee just play safe nigga.

Kama akiona pina basi ataomba msogezee next level ila so far usijiweke kwenye lawama.
 
Kwani wewe unatakaje? Kama K kakupa, unataka mini zaidi?
 
Wee jamaa acha ujinga kamatilia fursa hiyoooo, ohooo usije semaa oohh Mungu hanipendi
 
haa haaa haa inaonekana we huwa unazisotea sana
Wala, sijawahi soteshwa siku za karibuni. Wajua, kuna umri fulani ukifika hayo mambo yanakuwa mepesi sana. Sijawahi "tongoza" mwanamke siku za karibuni. Actually, napata kazi kubwa kuwaavoid!
 
You are a friend with benefit to her...

She is in for sex but not for a relationship, that's what it is...


Cc: mahondaw
 
Nimekosa cha kuongea, zaidi nimehisi hii story ni kama movie ya kikorea hapa naitazama kwa namna fikra zangu zilivyopaa.
By the way, fanya kile moyo wako unataka.
 
Back
Top Bottom