figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
hahahaaa....!!chrg imeisha si unaona mgao?msipendi mapenzi ya simu.kama kila kitu unapata unahangaika na simu ya nini?hiyo ni simu ya mkoni hata kwenda nayo bafuni ruksa.miaumenikumbusha kuna mdada alienda kwa mpnz wake kufika akazima simu, baada ya muda akawa anatafuta simu ya mwenzie achunguze chunguze akakuta na yenyewe imezimwa. Ngoma droo hiyo.