Hataki nitazame simu yake

umenikumbusha kuna mdada alienda kwa mpnz wake kufika akazima simu, baada ya muda akawa anatafuta simu ya mwenzie achunguze chunguze akakuta na yenyewe imezimwa. Ngoma droo hiyo.
hahahaaa....!!chrg imeisha si unaona mgao?msipendi mapenzi ya simu.kama kila kitu unapata unahangaika na simu ya nini?hiyo ni simu ya mkoni hata kwenda nayo bafuni ruksa.mia
 
hahahaaa....!!chrg imeisha si unaona mgao?msipendi mapenzi ya simu.kama kila kitu unapata unahangaika na simu ya nini?hiyo ni simu ya mkoni hata kwenda nayo bafuni ruksa.mia
aah! Wapi. Hao walikuwa wanaficha mambo yao.
 
Kuna msichana nipo nae kwa uhusiano for about 4 years now, mi nafanya kazi flani hapa Dar na yeye yupo chuo flani Dodoma. Tulianza uhusiaano 2007 ye alikuwa Form 4 na mi nilikuwa Chuo. Ila shida napata naye siku zote ni kuwa yeye hupenda sana kuchunguza simu yangu ataanza maswali kuhusu contacts zote za majina ya kike asoyajua, message zote ila yeye ananikatalia yake. Alivyoona namsumbua kaamua kuweka SECURITY CODE. Kuna nini hapo?
Chapa lapa kabla garika halijaja. Hakuna mapenzi hapo.....ZINDUKA.
 
Back
Top Bottom