Hataki nishike simu yake, nikiichukua ananuna

Hataki nishike simu yake, nikiichukua ananuna

j c mkali

Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
11
Reaction score
9
Jamani nipeni ushauri,

Mpenzi wangu hataki nishike simu yake hivi ni kweli kuna upendo hapo.

Mahusiano yana miezi nane nikichukua simu kwa nguvu ana nuna eti anasema hadi namchunguza simwamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani nipeni ushauri mpenzi wangu hataki nishike cm yake
iv ni kweli kuna upendo hapo
Mahusiano yana miezi nane nikichukua cm kwa nguvu ana nuna et anasema hadi namchunguza simwamini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unatafuta nini kwenye simu yake, hivi kwa mfano ukakuta Meseji ya mapenzi utafaidi nini, wewe unatafuta migogoro isiyo ya lazima
 
Sasa unataka kuishika ili iweje?wakati mnafunga ndoa kulikuwa na clause inayosema lazima kila mmoja ashike simu ya mwenzake?acha kiherehere utavunja ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom