j c mkali
Member
- Aug 30, 2017
- 11
- 9
Jamani nipeni ushauri,
Mpenzi wangu hataki nishike simu yake hivi ni kweli kuna upendo hapo.
Mahusiano yana miezi nane nikichukua simu kwa nguvu ana nuna eti anasema hadi namchunguza simwamini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpenzi wangu hataki nishike simu yake hivi ni kweli kuna upendo hapo.
Mahusiano yana miezi nane nikichukua simu kwa nguvu ana nuna eti anasema hadi namchunguza simwamini?
Sent using Jamii Forums mobile app