Hataki ninyoe

Anachangamsha genge.
Alafu issue ya kitoto anaomba ushauri
 
Pole sana best. Kama kuna watu hawapendi vichaka, basi mie mmojawapo. Mzuka wote unakata nikiona kichaka. Bora mazingira yawe safi muda wote

Sikuzote nimeamini hivyo mpk alipojitokeza wa mzuka tofauti mkuu
 
Huyo Mimi kabisa lazima kuwe u tofaut kati ya sura na k
 
Kwani sheria ya kutunza mazingira inasemaje,yawezekana yupo sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…