MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Gaijin umenichekesha had nalia kama nakuona mwenyewe leo unavaa red, kesho black ah kwa wa kwangu ingenibidi niwe na dazeni maana unawezahesabu siku ajazo happy!!
Comedy huwa zinalipa lakini.Comedian husbands ndo wacheshi sana!
ndo maana mnaachwa,do u think wakina mama wa zama hizo hawakuwa bize?pengine kuliko nyie.Hii tushaikataa zamani sana, respect is earned wandugu, and its both ways. the same goes to care and responsibilities especially if you are both working, wanawake sio machine hapo hadi wawe responsible kotekote wakati wanaume wanataka waishi kama wafalme. na vitisho vya kwamba hiyo ndo sababu wanaume wanaenda nje ni blackmail and i refuse to be blackmailed, if a man wants an affair kwa kisingizio hiki, let him have one i couldnt care less.
LOL!! Wanawake nao wana visa kiasi kumbe? Afadhali ulishtuka na kuacha kula angekuwekea suma na leo hii tusingekuwa na wewe hapa JFWana ndugu mie naeshim haya mambo ya kuchuniana yasikie kwa mwenzio...mi nilioa 2005 nikaachana na mwenzangu 2006 march..jamani shuruba nilizozipata na mwachia allah karim....yani mwezi tu bibie kaingia porin arusha...kazima simu...namtafuta kwa ndugu..wee si mkeo si tutajuaje....
mmmh kurudi namuuliza kulikoni kaamia chumba cha pili jamani jamani msikilize kwa mwenzio haya yasisiskukute.....mwanamke mwezi mzima anaamka anatengeneza chai..anaacha sebuleni anaondoka unasikia tu sauti ya cruiser unajua mwenzangu hayupo...mmhh nikastop na kula kabisa nyumbani nikaona nexty ntawekewa sumu....mwezi wa pili imani ikanishinda nikaondoka na kumwachia kila kitu ...jamani hakukuwa na jinsi niliamua kumrudia MUNGU RASMI....SIKU MOJA nikasimama pale kwenye kona ya ose garden kuangalia watu wanaopita pale kila waliokuwa wanaongea kwenye gari walikuwa ni mtu na hawara zake.....mtu na mkewe ni mnuniano kwenda mbele...jamani huyu nilempata mmmhhh mashallah kama nimemtoa kwa KAKOBE VILE....yaani namwachia MUNGU...ndio maana nawaambia ndugu zanguni msiogope kuwa wakina JOTI KWENYE ndoa kulinda familia zenu akinuna cheka akicheka chekeana....kazi kwenu
WAPWA
Wana ndugu mie naeshim haya mambo ya kuchuniana yasikie kwa mwenzio...mi nilioa 2005 nikaachana na mwenzangu 2006 march..jamani shuruba nilizozipata na mwachia allah karim....yani mwezi tu bibie kaingia porin arusha...kazima simu...namtafuta kwa ndugu..wee si mkeo si tutajuaje....
mmmh kurudi namuuliza kulikoni kaamia chumba cha pili jamani jamani msikilize kwa mwenzio haya yasisiskukute.....mwanamke mwezi mzima anaamka anatengeneza chai..anaacha sebuleni anaondoka unasikia tu sauti ya cruiser unajua mwenzangu hayupo...mmhh nikastop na kula kabisa nyumbani nikaona nexty ntawekewa sumu....mwezi wa pili imani ikanishinda nikaondoka na kumwachia kila kitu ...jamani hakukuwa na jinsi niliamua kumrudia MUNGU RASMI....SIKU MOJA nikasimama pale kwenye kona ya ose garden kuangalia watu wanaopita pale kila waliokuwa wanaongea kwenye gari walikuwa ni mtu na hawara zake.....mtu na mkewe ni mnuniano kwenda mbele...jamani huyu nilempata mmmhhh mashallah kama nimemtoa kwa KAKOBE VILE....yaani namwachia MUNGU...ndio maana nawaambia ndugu zanguni msiogope kuwa wakina JOTI KWENYE ndoa kulinda familia zenu akinuna cheka akicheka chekeana....kazi kwenu
WAPWA