Hataki kunisamehe.

Ndugu zangu,usiku huu wa manane nimekosa usingizi kabisa cuz of ths lady who is seriously driving me craizy,nakiri ni kweli nilimkosea,nikajutia kosa langu bt suprisingly,she is stil mad to me,tena leo ndo imekua mbaya zaidi bcuz she is neither responding to my colz nor replyn my txts,kuna muda nlikua facbuk nkamuona nae yuko online,nkamtext bt response was zero,mwenzenu niko kwenye hali mbaya,cjala k2 toka asubuh,nikishka madesa yangu ndo hayapandi kabisa.naomben mnishauri nifanyaje mwenzenu.

Kazana kusoma kijana wanawake hawa wapo na utawaacha ukifika muda muafaka wa kupata wa kuishi nae.
 
inaonyesha unampenda sana eeeh!!!!!!! muombe tena msamaha kwa mara ya pili akigoma na wewe uchune kimya kam wiki hivi halafu angalia kama ana wazo na wewe au lah..?
 
Yaani sikuwa hata na mpango wa kucheka leo mwe! we si ndio ulimtumia msg muachane wewe kha!

UKOME!!!!!!!!! mmezidi kucheza na mioyo ya watu

badala ya kumshauri we wamcheka...
mwenzio anakwambia tangu asubuhi hajala...
 
Mix these two:
1. Muone au mtumie email ya kumuomba msamaha. msamaha wenyewe ni
  • (1) nimekosea,
  • (2) sikua na sababu ya msingi ya kufanya hivo ila ni ujinga wangu tu
  • (3) nasikitika sana I made you feel the way you feel, na
  • (4) Nitahakikisha sirudi tena.
2. Then Mpe muda. Ukimpigia sana unazidi kumuongezea hasira na anaona kama akikujibu utadhani ni sababu ya pressure. Heshimu maamuzi yake ya kutowasiliana nawe (unaweza kuweka hili ndani ya mail). Na wewe mwenyewe jipe muda wa kutafakari why you did that and what are the other ways ungeweza tumia kufikia same results.
Ikipita siku 3, or 5 or a week (mwenyewe unajua kiwango cha mawasiliano yenu) mtumie tena message ingine kuomba mkutane ili kuongea kuhusu penzi lenu. She will come I am sure, and be prepared to respect whatever she has to say.

Katika hizo siku 3 sijui week akipata mpenzi mwingine je huyo bi-dada?
 
mkuu inaonekana sio kutikisa kiberiti tu,
wewe na mpanz wako huyo mnayo matatizo ya msingi na naweza kusema ni ya muda mrefu ambayo hamjayapatia ufumbuzi, na si kutingisha kibiriti pekee kama unavyosema... mi nahisi hutuweki wazi sana kaka katika hili,

ingawa sina utaalamu wa saikolojia, kinachoonekana wewe sio mwaminifu kwa mwenzio na inaonekana amekuvumilia mda mrefu sana bila ya wewe kubadilika, na katika kukuvumilia huko mmekuwa na magomvi ya mara kwa mara.... kitu ambacho hukuwa unajua ni kuwa kila ugomvi mpya baina yako na mwenzio ulikuwa unapunguza taratibu mshahawa wa mapenzi yake kwako. Imefika mahali ambapo hana hisia kabisa moyoni mwake juu yako!!
na hivyo alikuwa anatafuta sababu tu ili muachane... naam kaipata na sasa mmeachana....

kama natabiri sahihi...please usimrudie, badilika 4 real na tafuta msichana mwingine and move on!! huyo atakusumbua tu kaka maana madonda uliyompa hayatapona haraka.... na pls badilika kwa kuwa usipobadilika hii chain ya maisha ya sasa itaendelea!!
 
Songíto;2783790 said:
mkuu inaonekana sio kutikisa kiberiti tu,
wewe na mpanz wako huyo mnayo matatizo ya msingi na naweza kusema ni ya muda mrefu ambayo hamjayapatia ufumbuzi, na si kutingisha kibiriti pekee kama unavyosema... mi nahisi hutuweki wazi sana kaka katika hili,

ingawa sina utaalamu wa saikolojia, kinachoonekana wewe sio mwaminifu kwa mwenzio na inaonekana amekuvumilia mda mrefu sana bila ya wewe kubadilika, na katika kukuvumilia huko mmekuwa na magomvi ya mara kwa mara.... kitu ambacho hukuwa unajua ni kuwa kila ugomvi mpya baina yako na mwenzio ulikuwa unapunguza taratibu mshahawa wa mapenzi yake kwako. Imefika mahali ambapo hana hisia kabisa moyoni mwake juu yako!!
na hivyo alikuwa anatafuta sababu tu ili muachane... naam kaipata na sasa mmeachana....

kama natabiri sahihi...please usimrudie, badilika 4 real na tafuta msichana mwingine and move on!! huyo atakusumbua tu kaka maana madonda uliyompa hayatapona haraka.... na pls badilika kwa kuwa usipobadilika hii chain ya maisha ya sasa itaendelea!!

dah!!nimekuelewa mkubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom