Senator Hans
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 599
- 377
maybe kwa mshko alovuta anaweza kununuaSasa hivi yuko vizuri sana
maybe kwa mshko alovuta anaweza kununuaSasa hivi yuko vizuri sana
TawileeeNmekuelewa mkuu,,vp lkn kuhusu pia Dr Mihogo,,naye alichukua chake?
Dr. Mihogo yupo inchini, soma in between lines, jibu lipo...Nmekuelewa mkuu,,vp lkn kuhusu pia Dr Mihogo,,naye alichukua chake?
Chem chem inalipaChezea mahela na marupurupu yake we. Hukumwona Fr. Slaa alivyoonekana kijana baada ya kupewa ukimbizi wa ihari Canada? Imagine nani anamlipia pango au ndo kapewa nyumba kabisa.
Huko aliko haja kaa bure wazee,yuko ki mkakati zaidi,Kisha akasepa! Yeye anaifahamu siri ya mchezo akirejea atakuwa hana kitu na mahitaji ya nyakati yatambeba
Huko aliko haja kaa bure wazee,yuko ki mkakati zaidi,
Anasoma ramani na alama za nyakati.
Hela alizokomba,hajamaliza kazi yake na mkumbuke bado analipiwa hata kodi ya pango huko.
Akirudi atarudi kivingine na hamtaamini macho na maskio yenu
Niliota hivo jana.
