Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Binadam ni mtu wa ajabu sana. Utakuta hata wale wenye mi Rengi Rover na Mi VX Kilimo kwanza wanatole macho ki Vitz! Eti kina rangi nzuri, mwingine mi nimependa rim zake...
Ndivyo ilivyo hata kwenye mahusiano. Utakuta mtu ana mke mzurri, lakini bado anachepuka na 'li mwanamke' ambalo huwezi kabisa kulinganisha na yule mkewe...
Ni kwa nini binadam huwa hatutosheki na wingi au uzuri wa vile tulivyo navyo?
Ndivyo ilivyo hata kwenye mahusiano. Utakuta mtu ana mke mzurri, lakini bado anachepuka na 'li mwanamke' ambalo huwezi kabisa kulinganisha na yule mkewe...
Ni kwa nini binadam huwa hatutosheki na wingi au uzuri wa vile tulivyo navyo?