Ngwachonge
New Member
- Feb 6, 2018
- 4
- 1
Mmmmmh
Ndo hivyo usisubiri kuombwa, jiongeze!Mmmmmh
ok boss, ilTips mara nyingi hutolewa kwa wachumba/wapenzi. Yaani ile mnaagana baada ya kukutunuku una mkatia wekundu kadhaa bila hata kukuomba. Bahati mbaya wengi husitisha hizi tips mara wawili hao waingiapo kwenye ndoa.
Sasa ushauri nakupa pokea, kila anapokutunuku kesho yake unamkatia wekundu kadhaa za matumizi yake binafsi. Ukimzoeza hivyo, yaani hata kama anakula, ukimuita chumbani ataacha msosi aje kukuhudumia
Source: Ni mimi mwenyewe nimesikia kijiweni.
Huyo anayeenda kwa kahaba maandiko yanasema mwanaume hiyo hana akili kabisa. (Usiniombe mstari nimeusahau)
Mkuu uko vizuri! bible zenye kiswahili cha kisasa zinasema 'aziniye na kahaba'Mithali 6: 32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
Itakuwa wanauza "Bitcoins" mkuu. Maana ndio watu hopeless na mbumbumbu wa kiwango cha Reli(SGR) kuwahi kutokea katika Ulimwengu huu tunaoishi.Hicho kijiwe kinauza nini
Kijiwe cha Draft, hakiuzwi kitu pale!Hicho kijiwe kinauza nini
Wanawake wa leo wanataka mikakati ukiwa mzugaji huwapati....By Diamond!Nitamtipu mafungu ya bamia na matembele.
Ok vizuri, chaputa lazima wakusajiliItakuwa wanauza "Bitcoins" mkuu. Maana ndio watu hopeless na mbumbumbu wa kiwango cha Reli(SGR) kuwahi kutokea katika Ulimwengu huu tunaoishi.
Hii ni ya toka jana mkuuHii nayo mpya!!!
Wanawake wote inabidi mkatiwe TIN number maana baadhi yenu mmeigeuza miili yenu biashara na hamtaki kujisajili kwenye mamlaka halali ya TRA....siku hizi mkiombwa elfu ishirini tu na uzi mnafungua...
Teh teh tehMtaani kwenu hakuna mijimama?
Ni kweli mkuu lakini kila sikuu!!!!! HapanaUkiwekeza kwa mkeo umewekeza kwa familia. Atakuokoa siku ambayo hutegemei.
Mkuu, kwa hiyo yeye alivyomwagwa na Zari ni mzugaji?Wanawake wa leo wanataka mikakati ukiwa mzugaji huwapati....By Diamond!
Bitcoins shithole mentality!Ok vizuri, chaputa lazima wakusajili
Inategemea unaomba wakati gani, kukutana leo tu na unaanza kuomba hela huo ni ufanyabiashara.Mliambiwa kula kwa jasho hilo jasho ndio thamani yako mwanaume lkn siku hizi mkiombwa elfu ishirini tu na uzi mnafungua uishini uamaume mnatia aibu wanaume wa siku hizi
Nami sijamaanisha kuomba kwa kila tendo lkn jasho la mwanaume ndilo hasa limebeba heshima ya mwanaumeInategemea unaomba wakati gani, kukutana leo tu na unaanza kuomba hela huo ni ufanyabiashara.