Hata wanawake walioolewa wanapenda tips za asubuhi

Hata wanawake walioolewa wanapenda tips za asubuhi

JFK wabongo

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2015
Posts
3,887
Reaction score
3,201
Tips mara nyingi hutolewa kwa wachumba/wapenzi yaani ile mnaagana baada ya kukutunuku una mkatia wekundu kadhaa bila hata kukuomba.

Bahati mbaya wengi husitisha hizi tips mara wawili hao waingiapo kwenye ndoa sasa ushauri nakupa pokea, kila anapokutunuku kesho yake unamkatia wekundu kadhaa za matumizi yake binafsi.

Ukimzoeza hivyo, yaani hata kama anakula, ukimuita chumbani ataacha msosi aje kukuhudumia
Source: Ni mimi mwenyewe nimesikia kijiweni.
 
Mliambiwa kula kwa jasho hilo jasho ndio thamani yako mwanaume lkn siku hizi mkiombwa elfu ishirini tu na uzi mnafungua uishini uamaume mnatia aibu wanaume wa siku hizi
Daahh
poleni wanawake nahisi nnyie ndo mnapitia vipindi vigumu sana ktk maisha yenu ya ndoa au mapenzi!wanaume tunajijua wenyewe.
unaweza kuwa mke bora dunia nzima lakini ye akaona uko tofauti kbs na asikupende akaende kwa kahaba namba saba
 
Ndio nyie mnaojitengenezea mazingira ya kuchunwa...sasa huko kukutunuku atakuwa anakutunuku kwa ajili ya pesa ama upendo?
Wanasemaga mazoea hujenga tabia,siku akikutunuku ukawa huna wekundu wa kumpa huisi kama ataitafuta kwa mwingine?

Afu cha ajabu sasa...nimehisi kama ni tangazo hili
WatakuPM wenye uhitaji wa wekundu
 
Daahh
poleni wanawake nahisi nnyie ndo mnapitia vipindi vigumu sana ktk maisha yenu ya ndoa au mapenzi!wanaume tunajijua wenyewe.
unaweza kuwa mke bora dunia nzima lakini ye akaona uko tofauti kbs na asikupende akaende kwa kahaba namba saba
Huyo anayeenda kwa kahaba maandiko yanasema mwanaume hiyo hana akili kabisa. (Usiniombe mstari nimeusahau)
 
Ndio nyie mnaojitengenezea mazingira ya kuchunwa...sasa huko kukutunuku atakuwa anakutunuku kwa ajili ya pesa ama upendo?
Wanasemaga mazoea hujenga tabia,siku akikutunuku ukawa huna wekundu wa kumpa huisi kama ataitafuta kwa mwingine?

Afu cha ajabu sasa...nimehisi kama ni tangazo hili
WatakuPM wenye uhitaji wa wekundu
Mimi nimesikia kijiweni tu, nikaona niwashirikie wanajukwaa! Mimi natafuta lijimama lini kiben10.
 
Ndio nyie mnaojitengenezea mazingira ya kuchunwa...sasa huko kukutunuku atakuwa anakutunuku kwa ajili ya pesa ama upendo?
Wanasemaga mazoea hujenga tabia,siku akikutunuku ukawa huna wekundu wa kumpa huisi kama ataitafuta kwa mwingine?

Afu cha ajabu sasa...nimehisi kama ni tangazo hili
WatakuPM wenye uhitaji wa wekundu
kapeace
 
Sio kwa style hiyo kila baada ya mechi ya asubuh unaweza kuwekeza kwa namna nyingine sio hiyo, hiyo itakugharimu sana ni ushauri tu
Jambo mhimu ni kuto kutabirika. Ikiwa daily routine inakosa radha!
 
Back
Top Bottom