JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,201
- Thread starter
- #21
Wanawake wana pesa zao lakini pia za waume zao pia ni zao!Ndio maana kuna ongezeko la Ben10 mtaani
Wanawake wana pesa zao lakini pia za waume zao pia ni zao!Ndio maana kuna ongezeko la Ben10 mtaani
Kama unatoa tip kwa mchepuko kwa nini usitoe kwa mkeo pia?Hv vijiwe vya kahawa smtimes vinapotosha vijana wetu kama iv
Ishirini yote hyo now 10k tu inachezea block pande zote na number inafutwa.Mliambiwa kula kwa jasho hilo jasho ndio thamani yako mwanaume lkn siku hizi mkiombwa elfu ishirini tu na uzi mnafungua uishini uamaume mnatia aibu wanaume wa siku hizi
Usipanic mkuu. Kijana inaonyesha anaishi mitaa ya sinza mori kwa hyo kila siku anajisevia na wale huwez amka ukaondoka na kengele zako bila kuacha morning gloryYaani nimpe mke wangu hela kila asubh baada ya morning glory? Kwan ananiuzia ebo! Nitaacha hela ya kula sio hizo unazoziita tips wewe endelea kumpa ni wa kwako
Ndiyo ilivyo wala hujakosea huko anachunwa bila hata maji ya moto wakati nyumbani kuacha elfu 5 ni mtihaniDaahh
poleni wanawake nahisi nnyie ndo mnapitia vipindi vigumu sana ktk maisha yenu ya ndoa au mapenzi!wanaume tunajijua wenyewe.
unaweza kuwa mke bora dunia nzima lakini ye akaona uko tofauti kbs na asikupende akaende kwa kahaba namba saba
Sasa hapo akili aitoe wapi ilishahama kabisa kabaki na kopo empty kichwaniHuyo anayeenda kwa kahaba maandiko yanasema mwanaume hiyo hana akili kabisa. (Usiniombe mstari nimeusahau)
[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe mnajuaga mazingira!Mtaani hapana! Kuna mitaa ukichezea majimama yake jiandae kuokotwa coco beach!
Hajui huyo huwa zinaulizwa zile zako unazofichaga ziko wapi leo sina kitu toa hizo,Ukiwekeza kwa mkeo umewekeza kwa familia. Atakuokoa siku ambayo hutegemei.
Hapo sasa kipi kigumuKama unatoa tip kwa mchepuko kwa nini usitoe kwa mkeo pia?
Sa nkifanya hivo ntakua nanunua mkuu wakati nlishamlipia bei ya jumla yaaani Nile hadi nisimamiemo humohumo!Tips mara nyingi hutolewa kwa wachumba/wapenzi. Yaani ile mnaagana baada ya kukutunuku una mkatia wekundu kadhaa bila hata kukuomba. Bahati mbaya wengi husitisha hizi tips mara wawili hao waingiapo kwenye ndoa.
Sasa ushauri nakupa pokea, kila anapokutunuku kesho yake unamkatia wekundu kadhaa za matumizi yake binafsi. Ukimzoeza hivyo, yaani hata kama anakula, ukimuita chumbani ataacha msosi aje kukuhudumia
Source: Ni mimi mwenyewe nimesikia kijiweni.
Hahahaaa, naona unatumia kanuni ya wavuvi isemayo kuwa Samaki hapewi chambo mara mbili.Sa nkifanya hivo ntakua nanunua mkuu wakati nlishamlipia bei ya jumla yaaani Nile hadi nisimamiemo humohumo!
Wanadai eti menu ya aina moja inakinaisha.Ndiyo ilivyo wala hujakosea huko anachunwa bila hata maji ya moto wakati nyumbani kuacha elfu 5 ni mtihani
Mkuu fuatilia response za members has wa kike, utagundua kitu. Sehemu salama ya kuwekeza ni kwa mke wako!Usipanic mkuu. Kijana inaonyesha anaishi mitaa ya sinza mori kwa hyo kila siku anajisevia na wale huwez amka ukaondoka na kengele zako bila kuacha morning glory
Maneno kama haya mtawakamata wengine mie bado hamjanipataMliambiwa kula kwa jasho hilo jasho ndio thamani yako mwanaume lkn siku hizi mkiombwa elfu ishirini tu na uzi mnafungua uishini uamaume mnatia aibu wanaume wa siku hizi
Saidia kuelimisha humu maana kuna watu wamejibinafsishia ATM card za wake zao. Kadi uchukue hata tips tu hutoi. Mke akitaka pesa hata ya soda lazima aombe, khaa!Mleta uzi nimekupenda bure
HahahaaahaaaaaMtaani kwenu hakuna mijimama?