Hata uwe mzuri kiasi gani..

Hata uwe mzuri kiasi gani..

kwa hiyo akakugonga alafu akakuacha....Siku nyingine usikubali ugongwe bila ndoa
 
Msamehe bure dada ni mvulana tu huyu, still kuna good men ambao wanajua thamani ya mwanamke na wenye heshima kwa wanawake!
hakunaga. Daudi na uchamungu wake wote alimtamani mke wa askari angali yeye alikua na mke wake ndani. daudi nae alikua mvulana?
ni nature tu mtatusamehe.
 
Kuna tofauti ya kupenda na kutamani!!!
 
Wanaume wakomavu hutoa positive comments linapokuja suala la wanawake...ni mama zetu,dada zetu na binti zetu ...yapo mengi kwenye mahusiano na mapenzi na wanaokaa kimya haina maana hawayajui ila tulifundishwa kwamba ukimya ni kipimo cha kupevuka! Fikiria ungeweka jina lako halisi kisha upost ulichopost kisha dada zako,mama na ndugu zako wa kike wasome huoni kama ni udhalilishaji kwao?
Dogo acha kutafuta sympath ya jinsia ke....truth be told kaongea kiume na huo ndio UKWELI MCHUNGU ..... MWANAMKE MZURI NI YULE AMBAYE HUJAMVUA CHUPI FULL STOP.
 
Dogo acha kutafuta sympath ya jinsia ke....truth be told kaongea kiume na huo ndio UKWELI MCHUNGU ..... MWANAMKE MZURI NI YULE AMBAYE HUJAMVUA CHUPI FULL STOP.
kabisa mkuu.
Bow wow alikua na mtoto mzuri Ciara ila mwisho wa siku katoka na stripper, yani kaacha ile anayopewa bure na mtoto mzuri kaenda kuivamia ya kununua.
wote tunatamani kumtafuna Rihanna ila Chris Brown alimtafuna na bado akatoka nje ya mahusiano.
Mondy yupo na Zari na bado katoka nje ya mahusiano.
hio ni mifano michache tu.
 
Back
Top Bottom