chatts55 kwa nini unaogopa kuombwa namba ya simu?Najua vijana tunapenda sana kugegedana.
Ushauri wangu punguzeni au acheni kabisa au baki na mmoja umpendae.Sio kila umwonae mate yanakutoka.
UsiniPM kuniomba namba ya simu.
sijaelewa bado..........,
Ndo nn hiki?
Blaki Womani hili jukwaa limepoteza hadhi yake kabisahujaelewa nini Heaven on earth ameleta ujumbe wasitume PM wala kutaka namba za simu akili kichwani
Najua vijana tunapenda sana kugegedana.
Ushauri wangu punguzeni au acheni kabisa au baki na mmoja umpendae.Sio kila umwonae mate yanakutoka.
UsiniPM kuniomba namba ya simu.
hujaelewa nini shoste?