Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Mawaziri wa Uganda wakisinzia kwenye kikao.
... Na mkuu wao wa kaya naye sio mvivu....
... Na mkuu wao wa kaya naye sio mvivu....
mtu ukisinziaMawaziri wa Uganda wakisinzia kwenye kikao.
![]()
... Na mkuu wao wa kaya naye sio mvivu....
![]()
Walimtetea kuwa alikuwa kwenye tafakuri zaidi..hahahaaaaaaaaaaaaaaaa Afrika kuna mambo aiseeeNdo umuhimu wa kuvaa miwani myeusi unapoonekana!
Kile kituo cha Tv kilichomuonesha mkulu wao akisinzia nacho kilifungiwa bila shaka!
Hii aibu ya milele kabisa!
kuna usemi unasema'cheka saanaaa lakini omba ya sikukute'Usingizi uusikie hivyo hivyo tu.
Nalog off
Eeeh sasa hapo kuna kikao tena kama watu wote wanasinzia
...jamani jf itapigwa ban, lile gazeti sijui tv imepigwa ban ya maana msije kutuvurugia jf yetu...
huyo alikuwa anaita mwizi au alikuwa anazomea...Hata wachina nao wamo kwenye kikao...
![]()
Usingizi uusikie hivyo hivyo tu.
Nalog off
Wengi wa wabunge wetu wana umri mkubwa. Yabidi huko bungeni (a) session ziwe za saa 2 zikifuatiwa na pumnziko la nusu saa (b) kuwe na vyumba vya kupumnzika wakati wa break hizo za nusu saa.
Kama sio hivyo kuwe na sharti la kikomo cha umri wa juu kwa mbunge mathalan miaka 50.
hivi wanasinzia bungeni tu?maana kwa waheshimiwa kama hao kusinzia inataka moyo,si anaweza akatunguliwa risasi
kuna usemi unasema'cheka saanaaa lakini omba ya sikukute'