BROTHER OF BROTHERS
Senior Member
- Jun 30, 2013
- 105
- 144
Nimeshangazwa Sana na hizi Gharama za BANDO la internet kutoka kwenye kampuni ya wazawa (TTCL) ambao nilihisi wapo upande wa Wananchi lakini matokeo yake kifurushi Cha 1.5GB Kwa Tsh 2000/-bkwa Wiki kimekuwa Cha 950 MB Kwa Ile ile 2,000/-
Ndugu yangu kunahaja yakuhamia SAFARI COM.
Ndugu yangu kunahaja yakuhamia SAFARI COM.