Hata sijui nifanye nini, nahitaji ushauri wenu

Hata sijui nifanye nini, nahitaji ushauri wenu

BRO..sidhani kama kuna tatizo hapo muhimu mmependana.Tofauti ya umri wa miaka miwili sio issue...Usijipe mawazo kwa kitu kidogo kama hicho na si kwamba ukioa mke aliyekuzidi umri unapata dhambi Hapana bali utakuwa mume bora sababu utamuheshimu sana mkeo
 
aisee.! Mabinti wanaganda kweli these dayz.
 
BRO..sidhani kama kuna tatizo hapo muhimu mmependana.Tofauti ya umri wa miaka miwili sio issue...Usijipe mawazo kwa kitu kidogo kama hicho na si kwamba ukioa mke aliyekuzidi umri unapata dhambi Hapana bali utakuwa mume bora sababu utamuheshimu sana mkeo

Asante kwa hilo
 
Angalia moyo wako unaamani na huyo grlfrnd wako?, kama ndio basi chukua option ya kuoana, ila kinyume na apo ndo jibu!
 
 
Last edited by a moderator:
Hujui ufanyeje.....mwambie una UKIMWI
 
no wonder WANAUME tuko wachache sana...
 
Me nlifikir ana mbunye kubwa kuliko umbo lako hadi unapwaya..kumbe umri,muambie asikuwe tena hadi umpite umri...
 
Umri kitu gani bwana wajibu wako ni kuprove uanaume wako usiwe kama wale wenye hofu ya kuoa wanawake waliowazidi status,huku ni kutokujua kwa nini Mungu alitupa Heshima ya kuwa vichwa.Mwanamke usimwangalie status cheza na nature yake ya uanamke!
 
Age is just a number ........... kamata fursa twend zetu.

Grand PA
 
kijana ukija kuomba ushauri humu,jitaid kuandika mambo yanayo eleweka sio kuandika ki DJ DJ...ebu andika vizuri tukupe ushauri wa maana,la sivyo utaambulia kejeli na ushauri wa kipuuzi tu.
 
Back
Top Bottom