Hi wanaJF
Naomba ushauri wenu
Girlfriend wangu ambae mwanzo mahusiano yalikuwa kama utani tu lakn kadr sku zlvyo zd kwenda tuljkuta tukpenda kiukwel na tatzo ni kwamba girlfriend wangu kanizidi umri wa miaka miwili na anataka tuoane nashindwa jinsi ya kukataa.
Sijui nifanyeje
Naomba ushauri wenu
Girlfriend wangu ambae mwanzo mahusiano yalikuwa kama utani tu lakn kadr sku zlvyo zd kwenda tuljkuta tukpenda kiukwel na tatzo ni kwamba girlfriend wangu kanizidi umri wa miaka miwili na anataka tuoane nashindwa jinsi ya kukataa.
Sijui nifanyeje